Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Mauzo ya mafuta ya Iran barani Asia yaongezeka kwa 92%

    Mauzo ya mafuta ya Iran barani Asia yaongezeka kwa 92%

    Oct 30, 2016 07:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uuzaji wa mafuta yake katika nchi za bara Asia umeongezeka na kufikia asilimia 92, kiwango kinachokaribia cha kabla ya vikwazo.

  • Jeshi la Iraq lakomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa Mosul

    Jeshi la Iraq lakomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa Mosul

    Oct 19, 2016 04:31

    Vikosi vya Iraq vimefanikiwa kukomboa visima 100 vya mafuta kusini mwa mji wa Mosul, katika operesheni maalumu ya kuukomboa mji huo kutoka mikononi mwa mgaidi wa Daesh.

  • Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Uzalishaji mafuta nchini Iran warejea katika kiwango cha kabla ya vikwazo

    Oct 18, 2016 03:09

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kuanza utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1 ambayo ni maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA, uzalishaji wa mafuta wa Iran umekaribia kiwango cha kabla ya vikwazo, yaani mapipa milioni nne na laki mbili kwa siku.

  • Wanamgambo washambulia bomba la mafuta, Niger Delta Nigeria

    Wanamgambo washambulia bomba la mafuta, Niger Delta Nigeria

    May 29, 2016 03:53

    Wanamgambo wameshamulia bomba muhimu la mafuta katika eneo la Niger Delta nchini Nigeria huku kundi la wanamgambo linalojiita Walipiza Kisasi wa Niger Delta likitangaza kuhusika na hujuma hiyo.

  • Uzalishaji mafuta Nigeria washuka kutokana machafuko  Niger Delta

    Uzalishaji mafuta Nigeria washuka kutokana machafuko Niger Delta

    May 10, 2016 15:02

    Uzalishaji mafuta ghafi ya petroli Nigeria unatarajiwa kufika kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha miaka 22 iliyopita kutokana na hujuma za waasi katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta.

  • Maonyesho ya Kimataifa ya Gesi, Mafuta yaanza Tehran

    Maonyesho ya Kimataifa ya Gesi, Mafuta yaanza Tehran

    May 05, 2016 08:05

    Maonyesho ya 21 ya Kimataifa ya Gesi, Mafuta na Petrokemikali yameanza leo mjini Tehran ambapo kuna mashirika 1900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi 38 za dunia.

  • Libya kuongeza kiwango cha uzalishaji mafuta

    Libya kuongeza kiwango cha uzalishaji mafuta

    Apr 30, 2016 04:11

    Viongozi wa Libya wamekubaliana na mpango wa awamu tatu wa shirika la taifa la mafuta la nchi hiyo wa kuongeza uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu na kuufikisha katika kiwango cha kabla ya mwaka 2011.

  • Waasi wa Nigeria watishia kuhujumu vituo vya mafuta

    Waasi wa Nigeria watishia kuhujumu vituo vya mafuta

    Apr 20, 2016 14:42

    Waasi wa eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta kusini mwa Nigeria wametishia kwamba watazidisha mashambulizi yao dhidi mabomba na vituo vya uzalishaji mafuta ghafi ya petroli nchini humo.

  • Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Angola; nchi ya kwanza kwa kuzalisha mafuta barani Afrika

    Apr 18, 2016 04:14

    Angola hivi sasa imekuwa nchi ya kwanza inayozalisha mafuta kwa wingi barani Afrika.

  • Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya

    Ujenzi wa bomba la mafuta la Uganda, Tanzania yaipiku Kenya

    Apr 16, 2016 16:06

    Uganda imeamua kujenga bomba la mafuta kupitia Tanzania badala ya Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS