Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuta

  • Mripuko watokeo katika kiwanda cha kusafisha mafuta mashariki mwa Saudia

    Mripuko watokeo katika kiwanda cha kusafisha mafuta mashariki mwa Saudia

    Oct 16, 2019 08:15

    Shirika la Kitaifa la Mafuta nchini Saudi Arabia ARAMCO limetangaza kutokea mripuko katika kituo cha kusafisha mafuta, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Reuters: Baadhi ya wanafamilia ya kifalme Saudia wanataka Bin Salman awekwe kando, ami yake ashike madaraka

    Reuters: Baadhi ya wanafamilia ya kifalme Saudia wanataka Bin Salman awekwe kando, ami yake ashike madaraka

    Oct 03, 2019 04:27

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa, baadhi ya wanafamilia ya kifalme inayotawala Saudi Arabia na wafanya biashara wakubwa wa nchi hiyo wameeleza kuvunjwa moyo na uongozi wa mrithi wa ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman baada ya hujuma na mashambulizi makali ya wapiganaji wa harakati ya Ansarullah wa Yemen dhidi ya vituo na taasisi za kuzalisha mafuta mwezi uliopita.

  • 'Kushambuliwa vituo vya mafuta vya Saudia, kunabainisha udhaifu na kushindwa kwa Riyadh'

    'Kushambuliwa vituo vya mafuta vya Saudia, kunabainisha udhaifu na kushindwa kwa Riyadh'

    Sep 17, 2019 07:55

    Mtaalamu na mchambuzi wa masuala ya Magharibi mwa Asia amekadhibisha madai yaliyotolewa kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imehusika katika shambulizi dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusema kuwa, shambulizi hilo kwenye taasisi hizo limeonyesha udhaifu na kushindwa kwa Wasaudi.

  • Jitihada za Trump za kudhibiti bei ya mafuta katika masoko ya kimataifa

    Jitihada za Trump za kudhibiti bei ya mafuta katika masoko ya kimataifa

    Sep 16, 2019 04:55

    Mashambulizi yaliyofanywa na wanamapambano wa Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kupelekea kupungua nusu ya uzalishaji wa mafuta wa nchi hiyo na kuvuruga masoko ya kimataifa, yamekabiliwa na msimamo wa kukurupuka wa serikali ya Washington.

  • Sekta ya mafuta ya Iran inaendelea kustawi licha ya vikwazo vya Marekani

    Sekta ya mafuta ya Iran inaendelea kustawi licha ya vikwazo vya Marekani

    Sep 14, 2019 07:09

    Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sekta ya mafuta na gesi ya taifa hili inaendelea kustawi na kuimarika licha ya vikwazo vya kidhalimu vya Marekani.

  • Mfalme wa Saudia amteua mwanae kuwa waziri wa nishati

    Mfalme wa Saudia amteua mwanae kuwa waziri wa nishati

    Sep 08, 2019 03:16

    Mfalme wa Saudi Arabia amemfuta kazi waziri wa nishati Khalid Al-Falih na kumteua mwanae kuchukua nafasi hiyo.

  • Novak: Russia kuwekeza zaidi katika sekta ya mafuta ya Iran

    Novak: Russia kuwekeza zaidi katika sekta ya mafuta ya Iran

    Sep 06, 2019 03:24

    Waziri wa Nishati wa Russia amesema kuwa nchi yake inachunguza uwezekano wa kuwekeza zaidi katika uzalishaji wa mafuta nchini Iran.

  • Baada ya kushambuliwa na jeshi la Yemen, Saudia yalazimika kupandisha bei ya mafuta, wananchi wakasirika

    Baada ya kushambuliwa na jeshi la Yemen, Saudia yalazimika kupandisha bei ya mafuta, wananchi wakasirika

    Jul 14, 2019 06:01

    Shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia la Aramco ambalo hivi karibuni lilipata hasara kubwa baada ya kushambuliwa na ndege zisizo za rubani za jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen, limelazimika kupandisha bei ya mafuta nchini humo ili kufidia hasara hizo kutoka kwenye mifuko ya wananchi.

  • Zarif: Liwe liwalo, Iran itaendelea kuuza mafuta yake nje

    Zarif: Liwe liwalo, Iran itaendelea kuuza mafuta yake nje

    Jul 14, 2019 02:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria vikwazo haramu vya Marekani dhidi ya taifa hili na kusisitiza kuwa, Tehran itaendelea kuyauza mafuta yake nje ya nchi bila kubabaishwa na chochote.

  • China yajibu vitisho vya Marekani vya kuitaka Hong Kong izizuie meli za mafuta za Iran

    China yajibu vitisho vya Marekani vya kuitaka Hong Kong izizuie meli za mafuta za Iran

    Jun 02, 2019 02:28

    Serikali ya China imetupilia mbali vitisho vya Marekani vya kuitaka kuziwekea vikwazo meli za mafuta za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zisitie nanga na kutoa huduma zake katika bandari ya Hong Kong.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS