Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Wanasheria Tanzania wataka Mbowe ama aachiwe au afikishwe mbele vyombo vya sheria

    Wanasheria Tanzania wataka Mbowe ama aachiwe au afikishwe mbele vyombo vya sheria

    Jul 25, 2021 11:29

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kimeingilia kati sakata la kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kikitaka kiongozi huyo wa upinzani Tanzania ama aachiliwe huru au afikishwe kwenye mamlaka za kisheria.

  • Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Mahakama Afrika Kusini yamhukumu Zuma zaidi ya mwaka mmoja jela

    Jun 30, 2021 02:25

    Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ambaye kesi yake ya ufisadi inaendelea, amehukumiwa kifungo cha miezi 15 gerezani kwa kudharau korti.

  • Askari polisi aliyemuua Mmarekani mweusi, George Floyd apatikana  na hatia

    Askari polisi aliyemuua Mmarekani mweusi, George Floyd apatikana na hatia

    Apr 21, 2021 05:59

    Derek Chauvin, afisa mzungu wa polisi wa Marekani ambaye alimuua kikatili Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd na kuzusha maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi wa rangi dunia nzima hatimaye amepatikana na hatia katika mashitaka yote ya mauaji yaliyokuwa yakimuandama.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Kuwait azuiwa kusafiri nje ya nchi kwa tuhuma za ufisadi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Kuwait azuiwa kusafiri nje ya nchi kwa tuhuma za ufisadi

    Mar 30, 2021 08:02

    Mahakama ya Mawaziri inchini Kuwait imempiga marufuku kusafiri nje ya nchi Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo. Jaber al Mubarak al Hamad all Sabah anakabiliwa na kesi ya ufisadi wa mamia ya mamilioni ya dinari za mfuko wa hazina wa jeshi la nchi hiyo.

  • Mahakama ya Katiba ya Niger 'yabariki' ushindi wa Mohamed Bazoum

    Mahakama ya Katiba ya Niger 'yabariki' ushindi wa Mohamed Bazoum

    Mar 22, 2021 11:13

    Mahakama ya Katiba ya Niger imeidhinisha ushindi wa matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha PNDS, Mohamed Bazoum.

  • Kesi ya uchaguzi; Mahakama ya Juu ya Uganda yakataa ombi la Wine

    Kesi ya uchaguzi; Mahakama ya Juu ya Uganda yakataa ombi la Wine

    Feb 10, 2021 02:31

    Mahakama ya Juu ya Uganda imetupilia mbali ombi la mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, la kutaka kufanyia marekebisho faili lake la kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais yaliyompa ushindi Rais Yoweri Museveni.

  • Mmishonari wa Marekani afungwa miaka 15 kwa kunajisi mayatima Kenya

    Mmishonari wa Marekani afungwa miaka 15 kwa kunajisi mayatima Kenya

    Feb 05, 2021 11:45

    Raia wa Marekani ambaye alikuwa anafanya kazi kama mmishonari nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 15 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi mabinti mayatima.

  • Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Nov 12, 2020 04:21

    Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicien Kabuga jana Jumatano alifikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ambapo alisisitiza kuwa hana hatia katika mashitaka ya jinai yanayomkabili.

  • Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Ushindi mwingine wa Maduro baada ya Mahakama ya Rufaa ya Uingereza kutoa hukumu kwa maslahi ya Venezuela

    Oct 07, 2020 07:50

    Tangu kuanza mgogoro wa uchaguzi nchini Venezuela, Umoja wa Ulaya na nchi kubwa za Ulaya zimechukua msimamo sawa na wa Marekani dhidi ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela. Baada ya kinara wa wapianzani, Juan Guaido kushindwa katika uchaguzi na kisha kujitangaza rais mnamo Januari 23, 2029, nchi za Ulaya ikiwemo Uingereza, zimekuwa zikimuunga mkono kiongozi huyo wa upinzani.

  • EACJ yatupilia mbali faili la ukomo wa urais nchini Uganda

    EACJ yatupilia mbali faili la ukomo wa urais nchini Uganda

    Sep 30, 2020 13:41

    Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki (EACJ) imetupilia mbali faili lililowasilishwa kwake la kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu ya Uganda, wa kuidhinisha mabadiliko ya katiba yalioondoa ukomo wa umri wa kugombea urais katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS