Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu

  • Jumamosi, 28 Mei 2022

    Jumamosi, 28 Mei 2022

    May 28, 2022 03:25

    Leo ni Jumamosi tarehe 26 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria sawa na tarehe 28 Mei 2022 Miladia.

  • Jumanne tarehe 15 Machi 2022

    Jumanne tarehe 15 Machi 2022

    Mar 15, 2022 02:39

    leo ni Jumanne tarehe 12 Shaabani 1443 Hijria sawa na tarehe 15 Machi mwaka 2022.

  • Kurejea Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; kushindwa siasa za kuvuruga usalama wa eneo

    Kurejea Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu; kushindwa siasa za kuvuruga usalama wa eneo

    Nov 26, 2021 10:35

    Mwanachama wa Kamisheni ya Usalama wa Kitaifa na Siasa za kigeni ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema ombi la nchi za Kiarabu la kutaka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League, ni alama ya kushindwa siasa za kuvuruga usalama na kutaka kubadilisha muundo wa siasa nchini Syria.

  • Bunge la Iran laanza kuchunguza sifa za mawaziri waliopendekezwa na Rais Raisi

    Bunge la Iran laanza kuchunguza sifa za mawaziri waliopendekezwa na Rais Raisi

    Aug 14, 2021 08:08

    Msemaji wa kamati ya uongozi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, bunge hilo linaanza mchakato wa kuchunguza sifa za mawaziri wa serikali mpya waliopendekezwa na Rais Ebrahim Raisi.

  • Ijumaa, Mei 28, 2021

    Ijumaa, Mei 28, 2021

    May 28, 2021 02:24

    Leo ni Ijumaa tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Mei 2021 Milaadia.

  • Bunge la Iran: Lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na hazikubaliki

    Bunge la Iran: Lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na hazikubaliki

    Dec 14, 2020 02:56

    Wawakilishi wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kwamba, wanategemea kutoka kwa Rais wa Uturuki ujirani mwema na kufanyika juhudi za kuweko umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na uletaji amani na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi na kutangaza kuwa, lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na katu hazikubaliki.

  • Mbunge: Baadhi ya wakaguzi wa IAEA nchini Iran walikuwa wakiifanyia ujasusi CIA

    Mbunge: Baadhi ya wakaguzi wa IAEA nchini Iran walikuwa wakiifanyia ujasusi CIA

    Dec 02, 2020 02:31

    Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Bunge la Iran amesema idadi kubwa ya wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA waliokuwako hapa nchini walikuwa majasusi na walilipatia Shirika la Ujasusi la Marekani CIA taarifa za wanasayansi wa Iran.

  • Shirika la Atomiki la Iran latakiwa kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimia 20

    Shirika la Atomiki la Iran latakiwa kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimia 20

    Dec 01, 2020 12:53

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamelitaka Shirika la Atomiki la Iran kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimi 20 kwa ajili ya matumizi ya amani.

  • Ghalibaf: Vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru, ni siasa zilizofeli

    Ghalibaf: Vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru, ni siasa zilizofeli

    Nov 24, 2020 02:24

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi huru duniani ni siasa zilizofeli na kuongeza kuwa, vikwazo hivyo vimeimarisha misingi ya uchumi wa kutengemea uwezo wa ndani, nchini Iran.

  • Ghalibaf: Kasi ya kuporomoka Marekani imeongezeka

    Ghalibaf: Kasi ya kuporomoka Marekani imeongezeka

    Nov 15, 2020 08:12

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, matukio yaliyoambatana na uchaguzi wa Marekani yamezidi kuporomosha itibari ya nchi hiyo na kuongeza kasi ya kuporomoka mfumo wa kibeberu wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS