-
Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya
Sep 21, 2023 00:19Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, wamelaani vikali vitendo vya kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya, na hotuba zinazochochea ouvu, chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Kujiunga Jumuiya ya ASEAN na juhudi za kutumia sarafu za kieneo badala ya dola
Sep 01, 2023 23:13Kufuatia kutiwa saini makubaliano ya kifedha kati ya Indonesia, Malaysia na Thailand, sarafu za ndani za nchi hizo sasa zitaanza kutumika katika masoko ya biashara ya Jumuiya ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN).
-
Alkhamisi, Agosti 31, 2023
Aug 30, 2023 22:57Leo ni Alkhamisi Mwezi 14 Mfunguo Tano Safar, 1445 Hijria, sawa na tarehe 31 Agosti, 2023 Milaadia.
-
Jumamosi, 10 Juni, 2023
Jun 09, 2023 22:11Leo ni Jumamosi 21 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1444 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 10 Juni 2023 Miladia.
-
Kufichuliwa kashfa ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni nchini Malaysia
Oct 21, 2022 23:10Waziri wa Mambo ya Ndani wa Malaysia, Hamzah bin Zainudin, ametangaza kuwa nchi hiyo imeanza uchunguzi kuhusu nafasi ya shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (MOSSAD) katika kutekwa nyara Mpalestina huko Kuala Lumpur.
-
Jumatano, 31 Agosti, 2022
Aug 30, 2022 21:49Leo ni Jumatano Mwezi 3 Mfunguo Tano Safar, 1444 Hijria, sawa na tarehe 31 Agosti, 2022 Miladia
-
Mahakama yaidhinisha hukumu ya kifungo dhidi ya Waziri mkuu wa zamani wa Malaysia
Aug 24, 2022 03:30Najib Razaq, Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia ameshindwa katika kesi yake ya mwisho ya rufaa katika kesi ya ufisadi iliyomhusisha na ufisadi mkubwa wa fedha za umma.
-
Ijumaa, Juni 10, 2022
Jun 09, 2022 18:48Leo ni Ijumaa mwezi 10 Mfunguo Pili Dhulqaad 1443 Hijria, sawa na tarehe 10 Juni, 2022 Milaadia.
-
Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu
Dec 20, 2021 05:42Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.
-
Hamas yapongeza hatua ya Malaysia kukataa kuanzisha uhusiano na Israel
Oct 21, 2021 08:06Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.