Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • UN: Zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Darfur Kaskazini, Sudan

    UN: Zaidi ya 100 wameuawa katika mapigano Darfur Kaskazini, Sudan

    Jun 16, 2023 07:42

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limesema watu zaidi ya 100 wameuawa kwenye mapigano katika jimbo la Darfur Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

  • Kadhaa wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Kadhaa wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Jun 09, 2023 01:24

    Watu wasiopungua 13 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika nchi ya Sudan Kusini.

  • Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    Watoto 30 wameaga dunia hospitalini kutokana na mgogoro wa Sudan

    May 26, 2023 10:08

    Makumi ya watoto wachanga wa kuzaliwa wameaga dunia wakiwa hospitalini tangu vita vipya viibuke nchini Sudan mwezi uliopita, huku mapigano hayo yakiendelea kwa wiki ya sita sasa licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

  • Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    Makubaliano ya awali ya pande zinazozozana Sudan kwa ajili ya kusitisha mapigano

    May 13, 2023 07:22

    Hatimaye baada ya siku tatu za mazungumzo magumu ya kurudisha amani nchini Sudan, pande mbili zinazohasimiana zimetia saini taarifa na kukubaliana kuwa maslahi ya watu wa nchi hiyo yapewe kipaumbele. Pande hizo zimekubali kuchukua hatua zote za lazima ili kutowadhuru raia na kuwaruhusu waondoke kwenye maeneo yenye mapigano na yaliyozingirwa.

  • Jibu na hatua za serikali ya India dhidi ya uasi uliozuka katika majimbo manane ya nchi hiyo

    Jibu na hatua za serikali ya India dhidi ya uasi uliozuka katika majimbo manane ya nchi hiyo

    May 09, 2023 01:23

    Uasi katika jimbo la Manipur umeilazimisha serikali ya India kutuma vikosi vya uchukuaji hatua za haraka na kuweka marufuku ya kutotoka nje katika miji minane tofauti ya nchi hiyo.

  • Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu kusambaratika hali ya kibinadamu nchini Sudan

    Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu kusambaratika hali ya kibinadamu nchini Sudan

    May 02, 2023 07:34

    Martin Griffiths, mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kabla ya kuelekea nchini Sudan kwamba hali ya kibinadamu nchini humo ni mbaya sana kiasi kwamba imefikia kwenye hatua ya kusambaratika kabisa. Amesema, utatuzi wa mgogoro wa Sudan hauwezi kupatikana kutokana na kuendelea vita hivyo.

  • Zaidi ya watu 180 wameuawa katika mapigano Sudan

    Zaidi ya watu 180 wameuawa katika mapigano Sudan

    Apr 18, 2023 07:05

    Takriban watu 185 wameuawa na wengine 1,800 kujeruhiwa katika mapigano ambaye yanaendelea kwa muda wa siku nne sasa kati ya pande zinazohasimiana nchini Sudan. Hayo ni kwa mujibu wa mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan huku jamii ya kimataifa ikitoa wito kwa pande hasimu kusitisha mapigano.

  • Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Juhudi za kufanya mapinduzi nchini Sudan

    Apr 16, 2023 13:23

    Nchini Sudan hali si shwari ambapo habari kutoka nchini humo zinaonyesha kuendelea mapigano kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka na kuzusha wasiwasi wa kutokea mapinduzi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano kaskazini mwa Somalia

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano kaskazini mwa Somalia

    Mar 03, 2023 12:10

    Raia wasiopungua 210 wameuawa katika mapigano yaliyotokea huko Somaliland (eneo linalojitenga kaskazini mwa Somalia), kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya makundi yanayoiunga mkono serikali ya Mogadishu na wapiganaji wanaotaka kujitenga. Mapigano hayo yanaendelea tangu siku 24 zilizopita katika eneo hilo.

  • 14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Oct 16, 2022 11:33

    Kwa akali watu watano wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila katika eneo la Kordofan Magharibi nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS