Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Waziri Mkuu Sudan aahidi kutimiza matakwa ya Wasudan katika wiki mbili zijazo

    Waziri Mkuu Sudan aahidi kutimiza matakwa ya Wasudan katika wiki mbili zijazo

    Jul 05, 2020 14:23

    Waziri Mkuu wa Sudan amesema kuwa amekutana na makundi mbalimbali ya kisiasa na kijamii katika siku chache zilizopita na kupokea miito inayomtaka asahihishe mwelekeo wa serikali yake na kutimiza malengo ya mapinduzi ya Wasudani yaliyomuondoa madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Watu 287 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Watu 287 wauawa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    May 21, 2020 07:50

    Mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila katika jimbo la Jonglei, mashariki mwa Sudan Kusini.

  • Mapigano ya kikabila Darfur, Sudan yaua watu 30

    Mapigano ya kikabila Darfur, Sudan yaua watu 30

    May 07, 2020 07:58

    Kwa akali watu 30 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila baina ya Waarabu na wasiokuwa Waarabu katika mkoa wa Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Baada ya kushindwa kutatua mgogoro wa Libya, Arab League yasema inasikitishwa na mapigano wakati huu wa kushughulikia corona

    Baada ya kushindwa kutatua mgogoro wa Libya, Arab League yasema inasikitishwa na mapigano wakati huu wa kushughulikia corona

    Apr 05, 2020 02:52

    Baada ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kushindwa kutatua mgogoro wa Libya na kukomesha mapigano katika nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika, Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo ameishia kusema anasikitishwa na vita vinavyoendelea huko Libya badala ya kuelekezwa nguvu katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 09:41

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya

    Polisi na raia wa Ugiriki wapambana na wahajiri wanaoingia Ulaya

    Mar 03, 2020 02:24

    Polisi na kundi la raia wa Ugiriki wamekabiliana na wahajiri wanaovuka mpaka kuelekea Ulaya.

  • Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano ya kikabila Ethiopia na Somalia

    Feb 29, 2020 13:32

    Watu wasiopungua 12 wameuawa katika mapigano mapya ya kikabila katika jimbo la Gambella, magharibi mwa Ethiopia.

  • Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Ghasia za umwagaji damu baina ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria mpya ya uraia nchini India

    Feb 27, 2020 02:24

    Kwa akali watu 23 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika mji mkuu wa India New Delhi, kufuatia ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

  • Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Watu 13 wafariki dunia na 150 wajeruhiwa katika ghasia za mjini New Delhi, India

    Feb 26, 2020 04:40

    Watu 13 wamefariki dunia na wengine 150 wamejeruhiwa katika ghasia zilizoibuka kati ya wapingaji na waungaji mkono wa sheria tata ya kuwapa uraia wa nchi hiyo watu wasio Waislamu.

  • Uwanja wa Ndege wa Tripoli Libya wafungwa tena baada ya kushambuliwa kwa maroketi

    Uwanja wa Ndege wa Tripoli Libya wafungwa tena baada ya kushambuliwa kwa maroketi

    Jan 23, 2020 02:28

    Uwanja pekee wa ndege unaofanya kazi mjini Tripoli Libya ulifungwa tena jana Jumatano baada ya kushambuliwa kwa maroketi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS