• Kuendelea ubaguzi wa rangi Marekani

    Kuendelea ubaguzi wa rangi Marekani

    Nov 23, 2021 04:41

    Uamuzi wa mahakama ya Marekani wa kufutilia mbali mashtaka ya mauaji yaliyokuwa yanamkabili kijana mmoja mweupe aliyehusika na mauaji ya watu wawili katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo mwaka uliopita, kwa mara nyingine umeamsha hasira ya wengi katika nchi hiyo ya Magharibi.

  • Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Nov 23, 2021 04:03

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye anaongoza timu ya mazungumzo ya Jamhuri ya Kiislamu na kundi la 4+1 yatakayoanza Novemba 29 huko Vienna amesema kuwa, Marekani sharti ikubali hali halisi ya mambo kwa kufungamana na ahadi ilizotoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Wayemen waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa wavamizi

    Wayemen waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa wavamizi

    Nov 22, 2021 08:31

    Maelfu ya wananchi wa Yemen wamefanya maandamano katika mkoa wa Sa'ada,kaskazini magharibi mwa nchi kulaani hatua ya Marekani ya kuunga mkono muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya taifa hilo maskini la Kiarabu.

  • Jeshi la Majini la Iran limetoa vipigo 6 ndani ya miezi 18 dhidi ya Marekani

    Jeshi la Majini la Iran limetoa vipigo 6 ndani ya miezi 18 dhidi ya Marekani

    Nov 21, 2021 08:04

    Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo la Iran limetoa pigo mara sita dhidi ya Wamarekani katika Ghuba ya Uajemi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Nov 20, 2021 10:13

    Wizara ya Fedha ya Marekani juzi Alhamisi ilitangaza kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya shakhsia sita na shirika moja la Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani. Ofisi inayosimamia fedha ya taasisi hiyo ya Marekani imesema kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya watu sita na taasisi moja ya Iran kwa kile ilichokitaja kuwa kujaribu kuathiri uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2020.

  • Mwanadiplomasia: Lengo la Marekani kuasisi makundi ya kigaidi ni kudhamini usalama wa Israel

    Mwanadiplomasia: Lengo la Marekani kuasisi makundi ya kigaidi ni kudhamini usalama wa Israel

    Nov 20, 2021 08:58

    Mwanadiplomasia wa zamani wa Iran amesema, lengo la Marekani la kuasisi makundi ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi hasa la DAESH (ISIS) ni kuvuruga uthabiti katika nchi zaWaislamu na kuzidhoofisha nchi zinazoupinga utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kudhamini usalama wa utawala huo.

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Sahihi ya rais wa Marekani si ya kutegemewa

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Sahihi ya rais wa Marekani si ya kutegemewa

    Nov 19, 2021 11:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, sharti la kukubaliwa Marekani kurudi kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondoa Washington kwa namna athirifu, itakayoweza kuthibitika na kwa wakati mmoja vikwazo vyote ilivyoiwekea Iran na kwamba sahihi ya rais wa Marekani haiwezi kutegemewa.

  • "Vikwazo vipya dhidi ya Iran ni muendelezo wa sera zilizofeli za Trump"

    Nov 19, 2021 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu si kitu kingine ghairi ya muendelezo wa sera zilizogonga ukuta za Donald Trump.

  • Ripoti: Mihadarati inaua watu zaidi ya laki 1 kila mwaka Marekani

    Ripoti: Mihadarati inaua watu zaidi ya laki 1 kila mwaka Marekani

    Nov 19, 2021 04:17

    Ripoti mpya ya utafiti inaonesha kuwa, idadi ya watu wanaopoteza maisha kutokana na matumizi ya mihadarati nchini Marekani imeongezeka na kupindukia watu laki moja kwa mwaka.

  • Russia yakosoa mwenendo wa kinafiki wa Marekani kuhusu masuala ya anga

    Russia yakosoa mwenendo wa kinafiki wa Marekani kuhusu masuala ya anga

    Nov 18, 2021 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezitaja tuhuma za Marekani dhidi ya Moscow kwamba inatumia silaha dhidi ya satalaiti na kusababisha vitisho angani kuwa ni za kinafiki na zisizo na ukweli wowote. Sergey Lavrov amesema kuwa: "Tunaona kwkamba, badala ya kutoa madai yasiyo na msingi wowote, ni vyema Marekani iketi kwenye meza ya mazungumzo na ieleze mitazamo yake kuhusu makubaliano yaliyopendekezwa na Russia na China kwa ajili ya kuzuia mashindano ya silaha angani