-
Wamarekani zaidi ya elfu 13 wameaga dunia kwa silaha moto tangu mwanzoni mwa mwaka huu
Apr 26, 2021 23:50Ripoti iliyotolewa katika makavazi ya ukatili wa silaha nchini Marekani inaonyesha kuwa, zaidi ya watu elfu 13 wamepoteza maisha katika matukio ya ufyatuaji risasi nchini humo tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2021.
-
Malalamiko yaendelea Marekani kupinga ubaguzi na ukandamizaji wa polisi
Apr 25, 2021 21:59Maandamano yanaendelea katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani kulaani ubaguzi wa rangi na ukandamizaji wa jeshi la polisi la nchi hiyo baada ya kuuliwa na polisi, Mmarekani mwengine mwenye asili ya Afrika kwenye jimbo hilo.
-
Yafichuka: Bin Salman anahonga vyombo vya habari ili kusafisha sura yake duniani
Apr 25, 2021 07:49Mtandao mmoja wa habari nchini Marekani umefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefunga mkataba wa gharama kubwa ya fedha na kampuni moja ya Marekani kwa shabaha ya kuboresha sura yake iliyochafuka sana mbele ya macho ya walimwengu.
-
Pentagon: Wanajeshi wa Marekani wanashambuliwa kwa "nishati na mawimbi yanayoongozwa kutoka mbali"
Apr 25, 2021 06:17Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imedai kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo wanashambuliwa na nchi za Russia na China kwa kutumia mawimbi na nishati yanayoongozwa kutoka mbali.
-
Marekani yaibua shaka kuhusu kufungamana kwake na JCPOA na kuondoa vikwazo
Apr 24, 2021 06:13Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika serikali ya Marekani alisema Alkhamisi kwamba hakuna dhamani ya kimaandishi itakayotolewa na serikali hiyo kuthibitisha kwamba haitajiondoa tena katika mapatano ya nyukilia na Iran na madola mengine makuu ya dunia, mashuhuri kama JCPOA.
-
Mashirika 40 ya kutetea haki za binadamu yamtakaka Biden afutilie mbali vikwazo dhidi ya Iran
Apr 22, 2021 21:53Huku virusi vya corona vikiwa vinaenea kwa kasi katika maeneo tofauti ya duniani ikiwemo Iran, hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vya kidhalimu na vya upande mmoja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinazuia juhudi za Tehran za kununua katika masoko ya kimataifa bidhaa na vifaa vya mataibabu kwa ajili ya kupambana na virusi hivyo.
-
Marekani yakiri kuhusu nguvu ya Iran ya ndege zake zisizo na rubani (droni)
Apr 21, 2021 22:22Jenerali Kenneth McKenzie, Kamanda wa Kamandi Kuu ya askari wa kigaidi wa Marekani CENTCOM, amekiri kwamba nguvu ya droni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepunguza na kudhoofisha pakubwa uwezo wa anga wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
-
Sanders ataka kubanwa misaada ya Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Apr 21, 2021 05:07Seneta wa kujitegemea wa Marekani, Bernie Sanders ameitaka serikali ya nchi hiyo kubana misaada yake kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa shabaha ya kuushinikiza ukomeshe kukalia kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Askari polisi aliyemuua Mmarekani mweusi, George Floyd apatikana na hatia
Apr 21, 2021 01:29Derek Chauvin, afisa mzungu wa polisi wa Marekani ambaye alimuua kikatili Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd na kuzusha maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi wa rangi dunia nzima hatimaye amepatikana na hatia katika mashitaka yote ya mauaji yaliyokuwa yakimuandama.
-
Balozi wa Marekani nchini Russia aitwa kurejea nyumbani
Apr 20, 2021 03:50Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba imemtaka balozi wake aliyeko mjini Moscow Russia arejee nyumbani kwa mashauriano zaidi na viongozi wa Washington.