-
Jenerali Baqeri: Kisasi kikali kwa wauaji wa Shahidi Suleimani muda wake hauishi
Jan 01, 2021 00:47Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kisasi cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC kitakuwa kikali na wala hakina muda wa kumalizika.
-
Zarif aishangaa Marekani kupiga ngoma ya vita badala ya kukabili corona
Jan 01, 2021 00:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya vikali Marekani kwa kupiga ngoma ya vita na kusisitiza kuwa, taifa hili lipo tayari kujilinda.
-
Pompeo ashitakiwa juu ya mauzo ya haraka ya silaha kwa Imarati
Jan 01, 2021 00:45Kesi imewasilishwa katika Mahakama ya Federali ya Marekani kuzuia hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo, Mike Pompeo, ya kuuzia silha aUmoja wa Falme za Kiarabu bila kufuata taratibu zinazotakiwa, katika wiki za mwisho za urais wa Donald Trump.
-
Sheikh Naim Qassim: kuuliwa kigaidi shahid Suleimani kumedhihirisha kilele cha udhaifu wa Marekani katika eneo
Dec 31, 2020 04:06Sheikh Naim Qassim amesema kuwa Marekani imemuuwa kigaidi Luteni jenerali Haji Qassem Suleimani nchini Iraq kutokana na kuwa dhaifu.
-
Muuguzi Marekani akumbwa na corona wiki moja baada ya kupigwa chanjo ya Pfizer
Dec 30, 2020 21:01Muuguzi mmoja katika jimbo la California nchini Marekani ameambukizwa virusi vya corona, zaidi ya wiki moja baada ya kupigwa chanjo ya kumkinga na maradhi ya Covid-19 ya kampuni ya Pfizer.
-
Rouhani: Taifa la Iran litaikata miguu Marekani katika eneo
Dec 30, 2020 11:06Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaikata miguu Marekani katika eneo la Asia Magharibi katika kisasi chake cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Suleimani, Kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH).
-
Spishi mpya ya kirusi cha corona imeshafika Marekani pia
Dec 30, 2020 03:05Kesi ya kwanza ya mtu aliyeambukizwa spishi mpya ya kirusi cha corona nchini Marekani imegunduliwa katika jimbo la Colorado.
-
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani yaafiki kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudia
Dec 30, 2020 02:47Katika mwendelezo wa siasa za White House zinazolenga kuuza silaha zaidi; Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa imeafiki kutekelezwa mikataba ya kuziuzia silaha Misri, Kuwait na Saudi Arabia.
-
Kamanda wa IRGC: Dei 9 ni siku ambayo Wairani walisimama kupinga fitina
Dec 30, 2020 00:54Mratibu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Tarehe Tisa Dei ni siku ya taifa la Iran kwani ni siku ambayo wananchi walijotokeza na kusimama kidete kupinga waliokuwa wameibua fitina.
-
Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari kwa waandishi habari mwaka 2020
Dec 29, 2020 02:39Gazeti la Washington Post limeripoti kuwa Saudi Arabia na Misri zimo kwenye orodha ya nchi hatari sana kwa waandishi habari katika mwaka huu wa 2020.