-
Trump awataka wafuasi wake kuandamana akikariri madai ya kufanyika udanganyifu katika uchaguzi
Dec 28, 2020 23:31Rais wa Marekani amekariri madai yake kuhusu kufanyika udanganyifu katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kuwatolea wito wafuasi wake kuandamana ili kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa hivi karibuni nchini humo.
-
Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen
Dec 28, 2020 23:29Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.
-
Bunge la Iran lalaani hatua ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha al-Mustafa
Dec 27, 2020 20:51Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) imelaani vikali hatua ya serikali ya Marekani ya kukiwekea vikwazo Chuo Kikuu cha Kimataifa cha al-Mustafa cha Iran.
-
Marekani inaunda 'ISIS 2' katika nchi za Syria na Iraq
Dec 27, 2020 20:50Ushahidi mpya umefichua kuwa, vyombo vya usalama vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel vipo mbioni kuzalisha kizazi kipya cha genge la kigaidi katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Watu 340,000 wamepoteza maisha kutokana na corona Marekani
Dec 27, 2020 11:55Takwimu zinaoneysha kuwa watu karibu milioni 19 na nusu wameambukizwa COVID-19 au corona nchini Marekani huku wengine zaidi ya 339,992 wakipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
-
'Waliohudumu White House katika utawala wa Trump huenda watapata tabu kuajiriwa'
Dec 26, 2020 23:07Gazeti la The Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa, wafanyakazi wa Ikulu ya White House katika kipindi cha utawala wa Donald Trump yamkini wakakabiliwa na tatizo la kupata ajira.
-
Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Dec 25, 2020 23:11Duru za kiusalama nchini Iraq zimeripoti kuwa misafara mingine mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani imeshambuliwa katika maeneo ya Dhi Qar, Diwaniya na Babil.
-
Onyo kali la Iran dhidi ya chokochoko yoyote ile ya kijeshi ya Marekani
Dec 25, 2020 23:09Matamshi ya vitisho yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Iran baada ya kuituhumu Tehran kwamba, ilihusika katika mashambulio ya hivi karibuni ya maroketi dhidi ya ubalozi wa Wsahington mjini Baghdad, yamekabiliwa na radiamali kali ya taifa hili.
-
Marekani kufungua ubalozi mdogo Sahara Magharibi, Morocco
Dec 25, 2020 09:41Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa ukiukaji wa sheria za kimataifa na maazimio ya Umoja wa Mataifa, Marekani imetangaza kuwa imeanzisha mchakato wa kufungua ubalozi mdogo katika eneo la Sahara Magharibi, huko kusini mwa Morocco.
-
Serikali ya Trump yaamua kuiuzia Saudia mabomu licha ya upinzani wa Wademocrat
Dec 24, 2020 09:17Serikali ya Marekani imeamua kutoa kibali cha kuruhusu kuiuzia Saudia mabomu; hatua ambayo imepingwa vikali na wabunge wa chama cha Democrat.