-
Msamaha wa Trump kwa watenda jinai za kivita wa Black Water; kuzifanya hazina thamani roho na maisha ya raia wasio Wamarekani
Dec 24, 2020 07:30Rais Donald Trump wa Marekani ambaye yuko kwenye siku za mwishomwisho za uongozi wake, ametoa msamaha kwa baadhi ya wahalifu wa kisiasa na watenda jinai za kivita.
-
Wabunge 150 wa Marekani wamtaka Biden airejeshe nchi hiyo katika JCPOA
Dec 24, 2020 04:44Wabunge 150 wa chama cha Democratic nchini Marekani wamemuandikia barua rais mteule wa nchi hiyo, Joe Biden wakiunga mkono azma yake ya kutaka kuirejeshe nchi hiyo kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pasi na masharti yoyote mapya.
-
Safari ya Miller Afghanistan; juhudi za Marekani za kutaka kuendelea kuwepo kijeshi nchini humo
Dec 24, 2020 00:02Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Marekani juzi Jumanne alielekea mji mkuu wa Afghanistan Kabul katika safari ya ghafla ambayo haikutangazwa kabla na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Muhammad Ashraf Ghani.
-
Marekani yaipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ianzishe uhusiano na Israel
Dec 24, 2020 00:01Mkuu wa shirika la kimataifa la ustawi wa fedha la Marekani ameipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ili ikubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wasiwasi wa kuongezeka njaa na umasikini nchini Marekani
Dec 22, 2020 21:22Kusambaa virusi vya Corona nchini Marekani na mazingira yaliyosababishwa na utendaji mbovu wa serikali ya nchi hiyo ni mambo ambayo yamepelekea kuongezeka matatizo ya kijami na kiuchumi yanayoikabili nchi hiyo.
-
Harakati ya An-Nujabaa: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kambi ya jeshi
Dec 22, 2020 09:15Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya An-Nujabaa ya Iraq amesema, ubalozi wa Marekani mjini Baghdad si kituo cha kidiplomasia bali ni kambi ya jeshi la nchi hiyo.
-
Mashambulio ya maroketi dhidi ya eneo la kijani Baghdad; watekelezaji na malengo yao
Dec 22, 2020 06:53Ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa Iraq Baghdad usiku wa kuamkia jana Jumatatu ulishambuliwa kwa akali na maroketi manane.
-
Hizbullah: Shahidi Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya njama za ubeberu wa Marekani
Dec 22, 2020 04:04Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, shahidi Qassem Suleimani alikuwa nguvu kubwa mbele ya mipango kiistikbari ya Marekani na ndio maana ameuliwa kigaidi na adui.
-
Kuanza kuondoka askari wa jeshi la Marekani nchini Somalia; kujipanga upya kijeshi Washington barani Afrika
Dec 21, 2020 10:15Marekani imeanza kuwaondoa wanajeshi wake walioko nchini Somalia kwa madhumuni ya kuwapeleka katika vituo vyake vingine mashariki mwa Afrika.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Venezuela
Dec 20, 2020 07:59Licha ya kufeli kwa sera za vikwazo za Marekani dhidi ya Venezuela, lakini viongozi wa Washington wangali wamekumbatia siasa hizo za mashinikizo na kuendelea kutekeleza siasa hizo zilizoshindwa na kugonga ukuta dhidi ya nchi hiyo ya Amerka ya Latini.