Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA

    EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA

    Jan 29, 2021 04:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo baina ya nchi za Ulaya na Marekani kuhusu kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yataanza hivi karibuni.

  • Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA

    Jan 28, 2021 23:22

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amesema yumkini Tehran itatazama upya kiwango cha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA

    Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA

    Jan 28, 2021 07:23

    Maafisa wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani ambao huko nyuma walikuwa wakitoa matamshi kinyume na msimamo wa serikali ya wakati huo ya nchi hiyo, hivi sasa wanaonyesha kuwa na mitazamo sawa, bali hata kutumia lugha ile ile ya serikali ya Donald Trump kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Yemen: Kusitisha kuziuzia silaha Saudia na UAE hakutafuta doa la jinai za Marekani

    Yemen: Kusitisha kuziuzia silaha Saudia na UAE hakutafuta doa la jinai za Marekani

    Jan 28, 2021 03:55

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuhusu hatua ya Marekani ya kusitisha kwa muda kuziuzia silaha Saudi Arabia na Imarati kwamba kufanya hivyo hakutafuta doa la jinai za Washington za kushirikiana na nchi hizo mbili.

  • Serikali ya Biden kuangalia upya vikwazo walivyowekewa maafisa wa ICC

    Serikali ya Biden kuangalia upya vikwazo walivyowekewa maafisa wa ICC

    Jan 27, 2021 08:38

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani amesema kuwa serikali ya nchi hiyo imepanga kuangalia upya vikwazo vya Washington dhidi ya maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Watu 2 wauawa katika tukio la utekaji nyara jimboni Texas, Marekani

    Watu 2 wauawa katika tukio la utekaji nyara jimboni Texas, Marekani

    Jan 27, 2021 08:37

    Watekajinyara wamewaua watu wawili katika jimbo la Texas, Marekani.

  • Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi

    Jan 26, 2021 08:25

    Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).

  • Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza

    Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza

    Jan 26, 2021 04:05

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015

    Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015

    Jan 26, 2021 03:55

    Uchunguzi mpya umefichua kuwa, makumi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wameuawa na polisi ya nchi hiyo tokea mwaka 2015.

  • Guterres : COVID-19 imetufunza hatuwezi kupuuza hatari, ataka chanjo igaiwe kiuadilifu

    Guterres : COVID-19 imetufunza hatuwezi kupuuza hatari, ataka chanjo igaiwe kiuadilifu

    Jan 26, 2021 03:43

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa maambukizi ya kirusi cha corona na kuenea ugonjwa wa COVID-19 pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa, ni changamoto mbili kuu ulizoikumbwa dunia hivi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS