-
EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA
Jan 29, 2021 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo baina ya nchi za Ulaya na Marekani kuhusu kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yataanza hivi karibuni.
-
Iran yasema huenda ikapunguza kiwango cha ushirikiano wake na IAEA
Jan 28, 2021 23:22Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao Vienna amesema yumkini Tehran itatazama upya kiwango cha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.
-
Kujitakia makuu serikali ya Biden kuhusu Iran na mapatano ya JCPOA
Jan 28, 2021 07:23Maafisa wa serikali mpya ya Joe Biden nchini Marekani ambao huko nyuma walikuwa wakitoa matamshi kinyume na msimamo wa serikali ya wakati huo ya nchi hiyo, hivi sasa wanaonyesha kuwa na mitazamo sawa, bali hata kutumia lugha ile ile ya serikali ya Donald Trump kuhusu Iran na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Yemen: Kusitisha kuziuzia silaha Saudia na UAE hakutafuta doa la jinai za Marekani
Jan 28, 2021 03:55Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuhusu hatua ya Marekani ya kusitisha kwa muda kuziuzia silaha Saudi Arabia na Imarati kwamba kufanya hivyo hakutafuta doa la jinai za Washington za kushirikiana na nchi hizo mbili.
-
Serikali ya Biden kuangalia upya vikwazo walivyowekewa maafisa wa ICC
Jan 27, 2021 08:38Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani amesema kuwa serikali ya nchi hiyo imepanga kuangalia upya vikwazo vya Washington dhidi ya maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Watu 2 wauawa katika tukio la utekaji nyara jimboni Texas, Marekani
Jan 27, 2021 08:37Watekajinyara wamewaua watu wawili katika jimbo la Texas, Marekani.
-
Canada yataka genge la Trump litambuliwe kuwa kundi la kigaidi
Jan 26, 2021 08:25Bunge la Canada limeitaka serikali ya nchi hiyo liliweke rasmi genge la wanamgambo waliojizatiti kwa silaha na wafuasi sugu wa aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump katika orodha ya magenge ya kigaidi kama vile al-Qaeda na ISIS (Daesh).
-
Balozi wa Iran UN: Rais wa Marekani achukue hatua ya kwanza
Jan 26, 2021 04:05Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu haina mpango wowote wa kufanya mazungumzo na Rais mpya wa Marekani Joe Biden, lakini inasubiri serikali mpya ya Washington ichukue hatua ya kwanza ya kuliondolea taifa hili vikwazo na kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ripoti: Polisi ya Marekani imeua makumi ya Wamarekani weusi tokea 2015
Jan 26, 2021 03:55Uchunguzi mpya umefichua kuwa, makumi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika wameuawa na polisi ya nchi hiyo tokea mwaka 2015.
-
Guterres : COVID-19 imetufunza hatuwezi kupuuza hatari, ataka chanjo igaiwe kiuadilifu
Jan 26, 2021 03:43Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amesema kuwa maambukizi ya kirusi cha corona na kuenea ugonjwa wa COVID-19 pamoja na mabadiliko ya hali ya hewa, ni changamoto mbili kuu ulizoikumbwa dunia hivi sasa.