Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mkutano wa chuki dhidi ya Uislamu kufanyika katika hoteli ya Trump

    Mkutano wa chuki dhidi ya Uislamu kufanyika katika hoteli ya Trump

    Oct 06, 2019 04:46

    Kundi moja lenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Marekani limepanga kufanya hafla katika mkahawa mashuhuri wa Mar-a-Lago unaomilikiwa na Rais Donald Trump.

  • Marekani haijawafungulia mashitaka makasisi 1,700 wa Katoliki waliolawiti watoto

    Marekani haijawafungulia mashitaka makasisi 1,700 wa Katoliki waliolawiti watoto

    Oct 06, 2019 00:46

    Uchunguzi wa shirika la habari la Associated Press umefichua kuwa, makasisi, maaskofu, mapadri na maafisa wengine 1,700 wa Kanisa Katoliki nchini Marekani wanaishi huru bila kufuatiliwa na vyombo vya sheria, licha ya kukabiliwa na tuhuma za kuwadhalilisha kingono watoto wadogo.

  • Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro

    Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro

    Oct 05, 2019 03:15

    Muungano dhidi ya Iran ambao umeundwa na watawala wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unadorora huku kila mmoja wa watawala wa nchi hizo akikumbwa na matatizo makubwa.

  • Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia: Iran imepiga hatua katika njia sahihi

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia: Iran imepiga hatua katika njia sahihi

    Oct 04, 2019 23:09

    Mkurugenzi Mkuu wa muda wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ameeleza kuridhishwa kwake na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na taasisi hiyo ya kimataifa.

  • Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia

    Oct 04, 2019 05:33

    Mwenendo wa Marekani wa kuchukua hatua za upande mmoja na nchi hiyo kupanua ubeberu wake katika kipindi cha Rais Donald Trump, umeshika kasi zaidi na sasa umechukua sura mpya.

  • Hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela na radiamali ya Russia

    Hatua za uhasama za Marekani dhidi ya Venezuela na radiamali ya Russia

    Oct 01, 2019 07:46

    Katika kipindi cha uongozi wa Rais Donald Trump, Marekani imejikita zaidi katika suala la kuipindua serikali ya mrengo wa kushoto nchini Venezuela na kumuondoa madarakani Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro na kisha kuiweka uongozini serikali ambayo ni mshirika wake kwa uongozi wa kinara wa upinzani Juan Guaido.

  • Amnesty: Marekani inaua raia katika mashambulizi ya anga Somalia

    Amnesty: Marekani inaua raia katika mashambulizi ya anga Somalia

    Oct 01, 2019 04:34

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema jeshi la Marekani limeua raia wasio na hatia katika moja ya mashambulizi yake ya anga nchini Somalia.

  • Marekani yafunga kamandi yake ya Jeshi la Anga Mashariki ya Kati nchini Qatar

    Marekani yafunga kamandi yake ya Jeshi la Anga Mashariki ya Kati nchini Qatar

    Sep 30, 2019 23:17

    Jeshi la Anga la Marekani limetangaza kuhamisha kwa muda kamandi yake ya Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) kutoka Qatar hadi jimbo la Carolina Kusini nchini Marekani.

  • Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Kituo cha jeshi cha Marekani na msafara wa askari wa Italia washambuliwa Somalia; Al Shabab latangaza kuhusika

    Sep 30, 2019 10:03

    Mashambulio mawili tofauti yamelenga kituo cha jeshi cha Marekani kilichoko kwenye mji wa Baledogle na msafara wa askari wa Italia katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • China kuzindua kombora la nyuklia linaloweza kufika Marekani katika muda wa dakika 30

    China kuzindua kombora la nyuklia linaloweza kufika Marekani katika muda wa dakika 30

    Sep 30, 2019 09:03

    Kufuatia kushadidi mivutano ya kisiasa, kijeshi na kiuchumi kati ya Marekani na China, vyombo vya habari vya China vimeripoti kuwa, kwa mara ya kwanza, jeshi la nchi hiyo litazindua kombora la nyuklia lenye uwezo wa kufika Marekani ndani ya muda wa dakika 30.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS