Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia na China zaitisha kikao cha Baraza la Usalama la UN dhidi ya Marekani

    Russia na China zaitisha kikao cha Baraza la Usalama la UN dhidi ya Marekani

    Aug 22, 2019 01:05

    Maafisa wa Russia na China wametoa wito wa kufanyika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mipango ya Marekani ya kustawisha makombora ya masafa ya kati ya kuyapeleka katika baadhi ya maeno ya dunia hususan Asia na Ulaya.

  • Ukosoaji mkali wa Russia na China dhidi ya majaribio ya kombora la Cruise la Marekani

    Ukosoaji mkali wa Russia na China dhidi ya majaribio ya kombora la Cruise la Marekani

    Aug 21, 2019 03:11

    Mwezi uliopita Rais Trump wa Marekani aliendeleza sera yake ya kujiondoa katika makubaliano na mikataba ya kimataifa kwa kuiondoa nchi hiyo katika mkataba wa Slaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF). Hatua hiyo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni utangulizi wa ajenda kubwa zaidi ya serikali ya Washington ya kustawisha na kuzalisha silaha mpya.

  • Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Abdul-Malik al-Houthi: Baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Israel

    Aug 20, 2019 22:05

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kutokuwa na itikadi na asili ya Wilaya (uongozi katika Uislamu) baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu kumewafanya wawe vibaraka wa Marekani na utawala haramu wa Israel.

  • Ilhan Omar: Nendeni Israel mkaone 'uhalisia wa ukatili wa kukalia ardhi kwa mabavu'

    Ilhan Omar: Nendeni Israel mkaone 'uhalisia wa ukatili wa kukalia ardhi kwa mabavu'

    Aug 20, 2019 03:33

    Wabunge wawili Waislamu katika Kongresi ya Marekani wamesisitiza kuwa wataendelea kupambana na sera za Trump dhidi ya Palestina na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel hadi pumzi yao ya mwisho.

  • Wakongwe wa jeshi la Marekani wajiunga na kampeni ya kutaka Trump atimuliwe

    Wakongwe wa jeshi la Marekani wajiunga na kampeni ya kutaka Trump atimuliwe

    Aug 19, 2019 22:05

    Kundi la askari wakongwe wa jeshi la Marekani limejiunga na kampeni inayoitaka Kongresi ya nchi hiyo iharakishe mwenendo wa kumtimua kazi Rais Donald Trump wa nchi hiyo kupitia njia ya kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.

  • Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Russia yasema itajibu mapigo kwa hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora Asia na Ulaya

    Aug 18, 2019 08:47

    Waziri wa Ulinzi wa Russiia ametahadharisha kwamba, Moscow itajibu hatua yoyote ya Marekani ya kuweka makombora katika nchi za Asia na Ulaya.

  • Utawala wa Kizayuni unashirikiana na Trump katika hatua dhidi ya wabunge Waislamu katika Kongresi ya Marekani

    Utawala wa Kizayuni unashirikiana na Trump katika hatua dhidi ya wabunge Waislamu katika Kongresi ya Marekani

    Aug 17, 2019 03:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa haitawaruhusu wajumbe wawili wa Bunge la Marekani, Kongresi, kuingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Misimamo isiyo ya busara ya Uingereza na Marekani kuhusu kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran

    Misimamo isiyo ya busara ya Uingereza na Marekani kuhusu kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran

    Aug 16, 2019 23:11

    Hatua ya Uingereza kusimamisha kinyume cha sheria meli ya mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilikuwa imeibua mvutano wa kisiasa kati ya London na Tehran huku Marekani nayo kupitia siasa zake za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Iran, ikijaribu kushinikiza meli hiyo iendelee kushikiliwa huko Jabal Tariq (Gibraltar).

  • Marais wa Tanzania na Afrika Kusini wapigia debe fursa za uwekezaji

    Marais wa Tanzania na Afrika Kusini wapigia debe fursa za uwekezaji

    Aug 15, 2019 08:49

    Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani amewakaribisha wafanyabiashara wa Afrika Kusini kwenda kuwekeza katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwenye sekta mbalimbali zikiwemo za afya, hoteli, utalii wa fukwe na uchakataji wa madini

  • Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Sisistizo la anayechukua nafasi ya Mogherini na Troika ya Ulaya kuhusu kulinda JCPOA

    Aug 15, 2019 05:44

    Umoja wa Ulaya na Troika ya umoja huo yaani, Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, kama wanachama wa kundi la 4+1 wamekuwa wakidai kuwa wanaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA. Pamoja na hayo, hivi sasa Ulaya inakabiliwa na changamoto kubwa katika kulinda mapatano ya JCPOA. Ni kwa msingi huo ndio wakuu wa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya wakasisitiza kuhusu kulinda JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS