-
Marzieh Hashemi atahadharisha kuhusu uwekwaji kizuizini watu wasio na hatia nchini Marekani
Jan 26, 2019 10:44Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kanali ya televisheni ya Press TV ametahadharisha kuhusu kutokuwepo uadilifu katika mfumo wa vyombo vya mahakama vya Marekani na uwekwaji kizuizini nchini humo watu wasio na hatia yoyote.
-
Zarif: Iran inaliunga mkono taifa la Venezuela dhidi ya njama za Marekani
Jan 26, 2019 01:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela, amesema Iran inaliunga mkono taifa hilo la Amerika ya Latini na itasimama nalo dhidi njama ya mapinduzi inayopikwa na Marekani.
-
Mapinduzi ya kisiasa ya Marekani dhidi ya Rais Maduro wa Venezuela
Jan 25, 2019 10:10Tangu kuingia madarakani nchini Venezuela serikali ya mrengo wa kushoto hapo mwaka 1999 hadi sasa, Marekani daima imekuwa ikifanya juhudi za kudhoofisha na kuingo'a mamlakani serikali hiyo.
-
Dunia yalaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela
Jan 25, 2019 01:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeungana na nchi nyingine duniani kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela.
-
Waziri wa Ulinzi Venezuela: Marekani ndio inapanga mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Rais Maduro
Jan 25, 2019 01:06Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amesema kuwa, Marekani na washirika wa White House ndio wanatekeleza mapinduzi ya kijeshi na vita vya kiuchumi dhidi ya nchi hiyo.
-
Viongozi wa Russia wakosoa uingiliaji mambo wa Marekani nchini Venezuela
Jan 24, 2019 04:42Viongozi kadhaa wa kisiasa nchini Russia wamekosoa uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kumtambua kiongozi wa chama cha upinzani nchini Venezuela, Juan Guaido kuwa rais wa muda wa nchi hiyo.
-
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela: Hatumtambui Juan Guaidó kuwa rais
Jan 24, 2019 04:38Waziri wa Ulinzi wa Venezuela amesisitiza kwamba, jeshi la nchi hiyo halimuungi mkono Juan Guaidó aliyejitangaza kuwa rais mpya.
-
Bi. Hashemi aachiliwa huru, asisitiza maandamano dhidi ya Marekani
Jan 24, 2019 01:11Hatimaye utawala wa Marekani imemuachulia huru bila kumfugulia mashtaka mtangazaji wa Press TV, Bi. Marzieh Hashemi baada ya kumshikilia kizuizini kinyume cha sheria kwa muda wa siku 11.
-
Mkuu wa IRIB: Kuanza kwa hamasa muongo wa tano wa Mapinduzi ya Kiislamu mwanzo wa kusambaratika Marekani
Jan 24, 2019 00:36Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sherehe za mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu zitafanyika kwa hamasa zaidi kuliko miaka yote na kwamba, kuanza muongo wa tano wa Mapinduzi ya Kiislamu ni marhala na mwanzo wa kusambaratika Marekani.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".