Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mbunge Mwislamu wa Marekani ataka Washington isiiuzie silaha Saudia

    Mbunge Mwislamu wa Marekani ataka Washington isiiuzie silaha Saudia

    Jan 18, 2019 23:34

    Mbunge wa kwanza mwanamke Mwislamu katika Kongresi ya Marekani ametoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa utawala wa Saudi Arabia.

  • Wall Street Journal: Ulaya haitajiunga na muungano dhidi ya Iran wa Marekani

    Wall Street Journal: Ulaya haitajiunga na muungano dhidi ya Iran wa Marekani

    Jan 18, 2019 12:30

    Gazeti mashuhuri la The Wall Street Journal la Marekani limeandika kuwa nchi za Ulaya hazitajiunga na muungano uliodhidi ya Iran unaotaka kuundwa na Marekani na wala hazitashiriki katika mkutano wa Warsaw huko Poland.

  • Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora

    Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora

    Jan 18, 2019 12:08

    Balozi wa Russia nchini Korea Kaskazini amekanusha tuhuma za viongozi wa Marekani dhidi ya nchi yake kwamba Moscow imeipatia Pyongyang teknolojia ya makombora na kuongeza kwamba, tuhuma hizo ni za kuudhi kama ambavyo hazina msingi wowote. 

  •  Mtangazaji wa Press TV, Bi. Hashemi, kufikishwa mahakamani Marekani

    Mtangazaji wa Press TV, Bi. Hashemi, kufikishwa mahakamani Marekani

    Jan 18, 2019 04:46

    Mtangazaji wa Televisheni ya Press TV, Bi. Marzieh Hashemi, ambaye amekuwa akishikiliwa kwa siku kadhaa na polisi ya Marekani, FBI, bila kufahamishwa sababu za kukamatwa kwake anatazamiwa kufikishwa mahakamani mjini Washington DC leo Ijumaa.

  • Mtangazaji wa Press TV anashikiliwa kinyume cha katiba Marekani

    Mtangazaji wa Press TV anashikiliwa kinyume cha katiba Marekani

    Jan 18, 2019 00:25

    Mtaalamu wa masuala ya sheria nchini Marekani amesema kukamatwa na kufungwa gerezani mwandishi habari na mtangazaji wa Televisheni ya Press TV, Bi. Marzieh Hashemi pasina kufahamishwa makosa yake ni kinyume cha katiba ya Marekani.

  • Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Jan 17, 2019 04:50

    Marekani siku zote imekuwa ikijinadi kuwa moja ya nchi kuu zinazounga mkono uhuru na haki za binadamu duniani na mara kwa mara imekuwa ikizituhumu nchi nyingine kuwa zinakiuka haki za binadamu. Lakini kinyume chake, Marekani ni moja ya nchi zinazokiuka pakubwa haki za binadamu ulimwenguni.

  • Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao

    Jan 17, 2019 04:18

    Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.

  • Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani inatiwa kiwewe na ustawi na maendeleo ya Iran

    Jan 16, 2019 12:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wameamua kuliwekea taifa la Iran vikwazo vikubwa mno kwa sababu wana kiwewe na maendeleo, ustawi na uwezo wa taifa hili la Kiislamu.

  • Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Mwanasiasa Uturuki: Kufeli Saudia Yemen kumebatilisha njozi za US za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya

    Jan 16, 2019 01:13

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchini Uturuki amesema kuwa, kushindwa Saudi Arabia kuidhibiti Yemen katika vita vyake dhidi ya nchi hiyo, kumebatilisha ndoto za Marekani za kuanzisha Mashariki ya Kati mpya.

  • Marekani na njama zake chafu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Marekani na njama zake chafu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Jan 15, 2019 04:35

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa nchi Uturuki amesema kuwa, kikao cha Marekani cha kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko nchini Poland, kimepangwa kufanyika kupitia njama chafu za White House kwa ajili ya kuibua mifarakano kati ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati na kufunika mgogogro unaonedelea kufukuta ndani ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS