Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kila saa moja linaripotiwa tukio la ubakaji katika mji mkuu wa Uingereza, London

    Kila saa moja linaripotiwa tukio la ubakaji katika mji mkuu wa Uingereza, London

    Sep 23, 2024 03:38

    Takwimu zilizotolewa na Polisi ya Uingereza zinaonyesha kuwa tukio moja la ubakaji huwa linaripotiwa kila saa katika mji mkuu wa nchi hiyo London.

  • Kan'ani: Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya jinai za Israel huko Palestina, Lebanon na Syria

    Kan'ani: Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya jinai za Israel huko Palestina, Lebanon na Syria

    Sep 21, 2024 23:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Iran amesema kuwa, Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima na kujibu malalamiko makubwa ya kimataifa kwa kushiriki kwake katika jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina, Lebanon na Syria.

  • Msaada wa EU kwa Ukraine tangu vilipoanza vita na Russia 2022 umefikia dola bilioni 131

    Msaada wa EU kwa Ukraine tangu vilipoanza vita na Russia 2022 umefikia dola bilioni 131

    Sep 18, 2024 02:32

    Misaada iliyotolewa na Umoja wa Ulaya (EU) na nchi wanachama wa umoja huo kwa Ukraine tangu vilipoanza kati ya nchi hiyo na Russia mnamo Februari 2022 imefikia yuro bilioni 118 (dola bilioni 131). Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais wa Tume ya EU Valdis Dombrovskis.

  • Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Sep 16, 2024 07:47

    Raia mmoja wa Marekani aliyejulikana kwa jina na Matt Nelson amejichoma moto katika mji wa Boston akipinga na kulalamikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Radiamali ya Iran kwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Shirika la Ndege la Iran Air

    Radiamali ya Iran kwa vikwazo vya nchi za Ulaya dhidi ya Shirika la Ndege la Iran Air

    Sep 12, 2024 23:00

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameichukulia kauli ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kuhusiana na kufutwa makubaliano ya pande mbili ya kutoa huduma za anga kwa Iran kuwa ni ugaidi wa kiuchumi wa nchi za Magharibi dhidi ya taifa la Iran.

  • Mdahalo wa kwanza wa uchaguzi wa rais wa Marekani kati ya Harris na Trump

    Mdahalo wa kwanza wa uchaguzi wa rais wa Marekani kati ya Harris na Trump

    Sep 12, 2024 03:56

    Mgombea wa chama cha Demokrat Kamala Harris na mgombea wa chama cha Republican Donald Trump katika uchaguzi wa urais wa Marekani wa Novemba 5, 2024, walishiriki katika mdahalo wao wa kwanza siku ya Jumanne usiku, Septemba 10.

  • Afisa wa Hamas: Marekani inahalalisha kwa kila njia mauaji ya kimbari ya Israeli

    Afisa wa Hamas: Marekani inahalalisha kwa kila njia mauaji ya kimbari ya Israeli

    Sep 11, 2024 02:07

    Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekosoa misimamo ya Marekani kuhusu vita vya Gaza na kusema: 'Washington inahalalisha kwa kila njia mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.'

  • Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Iran yalaani hatua ya Marekani ya kuiba ndege ya Rais wa Venezuela

    Sep 05, 2024 23:32

    Msemaji Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hatua ya serikali ya Marekani kukamata ndege inayotumiwa na rais wa Venezuela.

  • HAMAS: Marekani ni mshirika wa Israel katika uhalifu wa kivita huko Gaza

    HAMAS: Marekani ni mshirika wa Israel katika uhalifu wa kivita huko Gaza

    Sep 04, 2024 03:29

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema Marekani ni mshirika wa muda mrefu wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza, na imeendelea kutoa uungaji mkono wake wa kisiasa, kijeshi na kiusalama kwa utawala huo ghasibu.

  • Wananchi wa Marekani waandamana kuwatetea raia wanaodhulumika wa Palestina

    Wananchi wa Marekani waandamana kuwatetea raia wanaodhulumika wa Palestina

    Sep 03, 2024 08:10

    Maelfu ya wakazi wa mji wa New York nchini Marekani wamefanya maandamano kulaani jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS