Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Seneta wa Marekani: Washington ni mshirika wa Israel katika vita vya Gaza

    Seneta wa Marekani: Washington ni mshirika wa Israel katika vita vya Gaza

    Feb 14, 2024 08:48

    Seneta wa kujitegemea wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema kuwa, Washington ni mshirika wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kutokana na kuendelea kufadhili vita hivyo.

  • Kuongezeka ukosoaji  wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Kuongezeka ukosoaji wa Magharibi dhidi ya himaya ya Marekani kwa Israel katika vita vya Gaza

    Feb 13, 2024 23:06

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, Jumatatu iliyopita aliitaka Marekani kuacha kutoa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na kiwango kikubwa cha mauaji ya raia katika vita vya Gaza.

  • Venezuela yaalani kitendo cha Marekani cha kuiba ndege yake

    Venezuela yaalani kitendo cha Marekani cha kuiba ndege yake

    Feb 13, 2024 08:21

    Serikali ya Venezuela imelaani vikali kitendo cha Marekani cha kuiba waziwazi ndege iliyokuwa ikimilikiwa na kampuni moja la Venezuela.

  • Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Wananchi wa Ghana washerehekea kurejeshwa turathi zilizoibiwa na Marekani

    Feb 12, 2024 01:07

    Wananchi wa Ghana wanaendelea kusherehekea hatua ya kurejeshwa nchini humo turathi za thamani zilizokuwa zimeibiwa zaidi ya karne moja na nusu iliyopita na askari wa mkoloni Muingereza na kuhifadhiwa Marekani.

  • Iran yaonya kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za Israel

    Iran yaonya kuhusu uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za Israel

    Feb 09, 2024 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya vikali Marekani dhidi ya kuendelea kuiunga mkono Israel na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu.

  • Chuo Kikuu cha Harvard cha US kuchunguzwa kwa kuwabagua wanachuo Waislamu

    Chuo Kikuu cha Harvard cha US kuchunguzwa kwa kuwabagua wanachuo Waislamu

    Feb 07, 2024 23:32

    Chuo Kikuu cha Harvard cha Marekani kinakabiliwa na uchunguzi wa serikali, baada ya wanachuo Waislamu na Waarabu katika chuo hicho kuwasilisha faili la kulalamikia vitendo vya dhulma, unyanyasaji, chuki na ubaguzi dhidi yao chuoni hapo.

  • Vikosi vya Yemen vyashambulia 'kwa mafanikio' meli za US na UK

    Vikosi vya Yemen vyashambulia 'kwa mafanikio' meli za US na UK

    Feb 06, 2024 09:13

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Yemen amesema vikosi vya baharini vya nchi hiyo vimeshambulia kwa makombora meli za Marekani na Uingereza katika pwani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Russia, China: US inahatarisha usalama wa Asia Magharibi

    Feb 06, 2024 07:30

    Russia na China zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Iraq na Syria na kusisitiza kuwa, Washington ni tishio kwa usalama wa eneo zima la Asia Magharibi.

  • Iran yazionya Marekani na Uingereza: Msijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo

    Iran yazionya Marekani na Uingereza: Msijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo

    Feb 05, 2024 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian amelaani vitendo vya uchokozi vya hivi karibuni dhidi ya nchi za Asia Magharibi na kuzionya Marekani na Uingereza kwamba zisijaribu kuzipima ghadhabu za mataifa ya eneo hili.

  • Hatari za mitandao ya kijamii na juhudi za kuzitungia sheria

    Hatari za mitandao ya kijamii na juhudi za kuzitungia sheria

    Feb 05, 2024 00:18

    Katika miaka ya hivi karibuni, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu isiyotenganishika na maisha ya mwandamu wa sasa, kwa kadiri kwamba, ni nadra sana kumpata mtu ambaye hajajiunga kwenye mitandao hiyo na kufuatilia masuala mbalimbali anayoyapenda na yanayoivutia nafsi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS