-
Mwaka mmoja wa mgogoro kati ya nchi za Kiarabu
Jun 06, 2018 01:27Umetimia mwaka mmoja tokea uanze mgogoro baina ya nchi za Kiarabu na dalili zote zinaonyesha kuwa mgogoro huo ungali unaendelea bali hata utazidi kupanuka na kuwa mbaya zaidi.
-
Marekani yafichua: Saudia iliunga mkono mapatano ya Camp David kati ya Misri na Israel
Jun 03, 2018 10:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa nyaraka zinazofichua uungaji mkono wa utawala wa Saudi Arabia kwa mazungumzo ya mapatano kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Misri na Jordan katika enzi za utawala wa Anwar Sadat nchini Misri.
-
Magaidi 8, askari 2 wa Misri wauawa katika mapigano eneo la Sinai
May 29, 2018 22:14Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa askari wake wawili katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai.
-
Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni
May 27, 2018 23:46Vyombo vya usalama vya Misri vimemtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, Hazim Abdelazim.
-
Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri
May 27, 2018 00:13Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.
-
Al Azhar yalaani kitendo cha balozi wa Marekani cha kuufuta msikiti wa Al Aqsa katika taswira ya Quds
May 24, 2018 22:49Chuo Kikuu cha kidini nchini Misri cha Al Azhar kimelaani hatua ya balozi wa Marekani Israel David Friedman ya kuonyesha picha ya mandhari ya mji wa Baitul Muqaddas isiyo na msikiti mtukufu wa Al Aqsa ndani yake.
-
Sudan yalalamikia udhalilishaji wa Misri
May 20, 2018 22:04Uhusiano baina ya Misri na Sudan umezidi kuharibika baada ya Khartoum kuilalamikia Cairo kuwa inafanya udhalilishaji dhidi yaWamisri waishio nchini Sudan.
-
Misri yafungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Ramadhani
May 18, 2018 23:44Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
-
Magaidi 19 wauawa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai
May 17, 2018 09:29Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 19 katika operesheni iliyofanywa na jeshi la nchi hiyo katika Peninsula ya Sinai.
-
Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni na wa Ulinzi wa Russia na Misri
May 15, 2018 09:10Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni na wa Ulinzi wa Russia na Misri wamefanya mazungumzo ya pamoja katika mji mkuu wa Russia Moscow na kubadilishana mawazo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili pamoja na masuala ya kieneo.