-
Human Rights Watch yaitaka Misri iheshimu haki za binadamu
Apr 11, 2018 09:12Shirika la kimataifa la haki za binadamu la Human Rights Watch limemtaka Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri kuhakikisha kuwa uvunjaji wa haki za binadamu unakomeshwa nchini mwake katika kipindi cha pili cha urais wake.
-
Jeshi la Misri laua magaidi wanne Rasi ya Sinai
Apr 08, 2018 22:08Jeshi la Misri linasema limewaua magaidi wane na kuwakamata wengine wengi katika oparesheni maalumu za kuwatimua magaidi walio katika eneo la Rasi ya Sinai.
-
Misri, Sudan na Ethiopia zashindwa kuafikiana kuhusu bwawa la al-Nahdha
Apr 06, 2018 09:50Mkutano wa Misri, Sudan na Ethiopia wa kujadili suala tata la bwawa la al-Nahdha umegonga mwamba huku pande tatu hizo zikishindwa kuafikiana.
-
Kuibuka mshindi Abdul-Fattah al-Sisi na kuendelea kushika hatamu za uongozi wa Misri
Apr 03, 2018 21:59Rais Abdul Fattah al-Sisi ametangazwa mshindi wa kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais wa Misri baada ya kujipatia kura milioni 21 sawa na asilimia 97.08 ya kura zote na hivyo kupata ridhaa ya kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa pili.
-
Mtoto wa Mohamed Morsi: Hali ya baba ni mbaya sana katika jela nchini Misri
Mar 30, 2018 23:44Mtoto wa rais wa zamani wa Misri aliyeuzuliwa na kutiwa jela, amesema kuwa hali ya baba yake ni mbaya katika jela ya nchi hiyo na hakuna hatua zozote za maana zinazochukuliwa za kuhakikisha anapatiwa matibabu anayostahiki.
-
Ripoti: Vijana wamesusia uchaguzi wa rais Misri
Mar 29, 2018 23:00Ripoti zinaonesha kuwa, idadi kubwa ya vijana wa Misri hawakupiga kura katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Al-Sisi ashinda uchaguzi tata Misri ulioshuhudia ushiriki mdogo
Mar 29, 2018 10:37Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameibuka mshindi wa uchaguzi tata wa rais uliofanyika Jumatatu iliyopita, kwa kuzoa asilimia 92 ya kura zote halali zilizopigwa.
-
Kuna uwezekano rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi akafariki dunia akiwa jela
Mar 28, 2018 11:56Kamati moja ya bunge la Uingereza imefichua kuwa, kuna hatari ya kufariki dunia rais wa zamani wa Misri Mohammad Morsi kama serikali ya nchi hiyo haitoruhusu kupewa matibabu ya haraka.
-
Wamisri waanza uchaguzi wa Rais, al Sisi hakabiliwi na upinzani wa maana
Mar 26, 2018 10:37Wamisri leo Jumatatu wameanza kupiga kura kumchagua Rais mpya katika uchaguzi wa rais usio na upinzani wa maana huku Abdel Fattah al Sisi akitazamiwa kuibuka mshindi baada ya serikali yake inayoungwa mkono na jeshi kuwafunga jela na kuwatisha wagombea wote wakuu waliokuwa wakitazamiwa kuchuana naye katika uchaguzi huu.
-
Hadithi ya Uongofu (111)
Mar 26, 2018 06:09Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfulluizo huu wa Hadithi ya Uongofu.