-
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaanza nchini Misri
Mar 24, 2018 21:48Mashindano ya 25 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu yalianza jana Jumamosi tarehe 24 Machi, 2018 nchini Misri yakishirikisha wajumbe kutoka nchi 50 duniani.
-
Sudan yasema, ina azma ya kutatua hitilafu zake na Misri
Mar 19, 2018 11:52Rais wa Sudan amesema kuwa nchi yake imedhamiria kwa dhati kutatua hitilafu zilizopo kati ya Khartoum na Cairo.
-
Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi
Mar 17, 2018 00:18Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.
-
Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie
Mar 16, 2018 00:53Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.
-
Magaidi wa Daesh wanatumia kadi za simu za Israel nchini Misri
Mar 14, 2018 04:30Mtandao mmoja wa Intaneti wa Israel umesema kuwa, magaidi wa genge la wakufurishaji la Daesh walioko katika jangwa la Sinai la kaskazini mwa Misri, wanatumia kadi za simu za mashirika ya Kizayuni kufanya operesheni zao ndani ya ardhi ya Misri.
-
Jeshi la Misri laanzisha maneva ya pamoja na jeshi la Ufaransa katika Bahari Nyekundu
Mar 14, 2018 03:58Jeshi la Misri limeanzisha maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na jeshi la Ufaransa katika maji ya Bahari Nyekundu, chini ya ushirikiano wa kijeshi wa nchi mbili.
-
Mkutano wa Miujiza ya Kisayansi wa Qur'ani waanza Misri
Mar 13, 2018 12:11Mkutano wa Kumi wa Muujiza wa Kisayansi katika Qur'ani na Suna umeanza katika Chuo Kikuu cha Mansoura kilichoko umbali wa kilomita 120 kaskazini mashariki mwa mji wa Cairo nchini Misri.
-
Rais wa Sudan aonana na Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Misri
Mar 11, 2018 22:59Rais Omar al Bashir wa Sudan ameonana na Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Misri mjini Khartoum na kujadiliana naye masuala mbalimbali yanayozihusu nchi hizo mbili.
-
Mashambulizi mapya yasababisha kuuawa askari 2 na magaidi 16 Sinai, Misri
Mar 11, 2018 12:47Wimbi jipya la mapigano katika Rasi ya Sinai nchini Misri limepelekea kuuawa wapiganaji 16 wa kundi la kigaidi na wanajeshi wawili wa serikali.
-
Zaidi ya magaidi 100 wauawa katika Rasi ya Sinai nchini Misri
Mar 09, 2018 00:26Msemaji wa jeshi la Misri ametangaza habari ya kuangamizwa zaidi ya magaidi mia moja katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita kwenye jimbo la Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.