-
Jibu la watumiaji wa mtandao wa X kwa tishio la shambulio la nchi kavu la Marekani: Tunawasubiri, njooni, majeneza yako tayari!
Apr 02, 2026 08:45Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamevitaja vitisho vya Marekani vya kuanzisha mashambulizi na uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Iran kuwa ni dhihirisho lingine la kukata tamaa kwa Marekani dhidi ya nguvu ya kijeshi na ulinzi ya Iran.
-
Watumiaji wa mitandao ya Kijamii wanasemaje kuhusu vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran?
Mar 24, 2026 07:47Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameeleza maoni yao kuhusu vita vya sasa vya Marekani na Israel dhidi ya Iran wakisisitiza kuwa Wairani sasa wamekuwa nembo ya kusimama kidete na kupambana na madola ya kidhalimu na kibeberu kote duniani.
-
Televisheni ya Kiebrania ya Iran yazua wasiwasi katika vyombo vya habari vya Israel
Dec 04, 2025 08:33Press TV ya Iran imezindua kitengo cha lugha ya Kiebrania jambo ambalo limezua hofu katika duru za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwani hatua hiyo inaonekana kama sehemu ya juhudi za kimkakati za Iran kuathiri maoni ya Waisraeli huku kukiwa na vita vya simulizi vinavyozidi kupamba moto.
-
Watumiaji X: Kutoka Afghanistan hadi Venezuela; mlolongo wa uingiliaji kati wa Marekani unaendelea
Oct 17, 2025 10:41Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wamesisitiza kuwa lengo la Marekani katika kuchagua chaguo la kijeshi kuhusu Venezuela ni kufanya uporaji katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
-
Watumiaji wa X: Mkutano wa Sharm al-Sheikh ulikuwa mkutano wa makubaliano ya amani ya kichekesho zaidi duniani
Oct 15, 2025 10:57Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameuelezea mkutano wa Sharm al-Sheikh kuwa ni onyesho la nguvu na hadaa zenye lengo la kupuuza haki za watu wa Palestina.
-
Watumiaji wa X: Hamas imehuisha jina Palestina/ Israel ndilo neno linalochukiwa zaidi duniani
Oct 14, 2025 00:55Katika radiamali kwa makubaliano ya kuhitimisha vita huko Gaza, watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wamesema utawala wa Kizayuni umeshindwa kufikia malengo yake dhidi ya muqawama wa Kiislamu wa Palestina, "Hamas."
-
Radiamali ya watumiaji X kwa mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza: hatuamini, Trump si mwaminifu
Oct 04, 2025 06:14Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamesisitiza haja ya kuwa macho dhidi ya mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza.
-
Watumiaji X katika kuunga mkono msafara wa Sumud: Kila meli ni sauti ya kutaka uhuru wa Palestina
Oct 03, 2025 03:32Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wameuita msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud kuwa meli ya ukarimu na utu wa binadamu.
-
Watumiaji wa X: Hamas inawakilisha watu wa Palestina
Sep 28, 2025 10:03Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wameitaja harakati ya muqawama wa Palestina "Hamas" mwakilishi wa watu wa Palestina wanaotetea taifa lao.
-
Machapisho yaliyochaguliwa ya watumiaji wa X; Kutoka salamu za ghera kwa mwanamke wa Kiirani hadi kukosoa ushirikiano wa Magharibi na utawala wa Kizayuni.
Jun 08, 2025 09:30Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wametoa radiamali zao kwa masuala mbalimbali ya kimataifa katika jumbe zao.