Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Jul 13, 2017 08:08

    Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Jul 07, 2017 15:09

    Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia

    Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia

    Jul 02, 2017 15:13

    Watu wanane wameripoti kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia

    Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia

    Jun 27, 2017 15:43

    Duru za habari nchini Somalia zimeripoti habari ya kutokea mripuko mkubwa ndani ya meli katika pwani ya Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.

  • Watu 20 wauawa katika mlipuko mazikoni Kabul, Afghanistan

    Watu 20 wauawa katika mlipuko mazikoni Kabul, Afghanistan

    Jun 03, 2017 15:11

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mlipuko wa kigaidi wakiwa katika maziko katika kitongoji cha mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    May 31, 2017 15:00

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    May 30, 2017 15:40

    Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.

  • 19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    May 23, 2017 03:35

    Watu wasiopungua 19 wameuawa katika mji wa Manchester nchini Uingereza kufuatia mlipuko mkubwa unaoshukiwa kuwa hujuma ya kigaidi.

  • Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    May 17, 2017 13:54

    Kwa akali askari watatu wa jeshi la Somalia wamepoteza maisha baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja lililokamatwa na maafisa usalama kuwalipukia katika mji mkuu Mogadishu.

  • Mripuko wa bomu waua watu sita na kujeruhi wengine kadhaa mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wa bomu waua watu sita na kujeruhi wengine kadhaa mjini Mogadishu, Somalia

    May 09, 2017 08:10

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya bomu lililotegwa garini kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu hapo jana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS