-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Kabul
May 03, 2017 03:17Watu 33 wameuawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.
-
5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia
Apr 30, 2017 23:41Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kuendeshwa kutokea mbali katika viunga vya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia
Apr 29, 2017 11:01Duru za usalama nchini Somalia zimetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu mjini Mogadishu Somalia na kujeruhi watu wawili.
-
Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Apr 09, 2017 09:52Watu wasiopungua 15 wameuawa baada ya bomu lililotegwa ndani ya gari kuripuka nje ya kambi ya jeshi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Russia
Apr 03, 2017 22:58Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi katika mji wa St.Petersburg nchini Russia.
-
Shambulio la kigaidi laua watu kadhaa Mogadishu, Somalia
Mar 21, 2017 22:19Polisi ya Somalia imetangaza kuwa shambulio la kigaidi lililotokea jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu limeua watu kadhaa na kujeruhi wengine wengi.
-
Mripuko mwingine waukumba mji mkuu wa Somalia, Mogadishu
Mar 12, 2017 10:21Vyombo mbalimbali vya habari ya ndani na nje ya Somalia vimeripoti habari ya kutokea mripuko wa bomu leo Jumapili katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Jumamosi, Machi 11, 2017
Mar 10, 2017 22:56Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Tisa Jamad Thani 1438 Hijria sawa na tarehe 11 Machi 2017 Miladia.
-
Mwanachama wa Daesh ajilipua katika sherehe za harusi Iraq na kuua watu 26
Mar 09, 2017 04:34Kwa akali watu 26 wameuawa papo hapo katika mripuko wa bomu uliotokea katikati ya sherehe za harusi, karibu na mji wa Tikrit, kaskazini magharibi mwa mji mkuu Baghdad.
-
Ushahidi waonesha: Ndege ya Misri iliangushwa na magaidi
Dec 16, 2016 00:19Kuna uwezekano mkubwa kwamba, ndege ya Misri iliyoanguka mapema mwa mwaka huu na kuua makumi ya watu ililipuliwa na magaidi.