-
Milipuko ya kigaidi yaendelea kuitikisa Somalia, wanajeshi watano wauliwa
Dec 15, 2016 10:53Wanajeshi watano wa Somalia wameuawa katika mlipuko wa bomu la kutegwa garini uliotekelezwa leo karibu na ikulu ya Rais wa Somalia na kujeruhi pia makumi ya watu.
-
Wanne wauawa katika mlipuko wa kigaidi Somalia
Dec 12, 2016 10:27Mlipuko wa kigaidi uliotokea leo katika mji wa bandari wa Kismayo nchini Somalia umeuawa watu wanne.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma ya kigaidi Iraq
Oct 16, 2016 11:13Watu zaidi ya 30 wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi lililoulenga mkusanyiko wa waombolezaji waliokuwa wakiandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
-
Mlipuko wa bomu waua watatu Blue Sky, Mogadishu
Oct 01, 2016 09:46Gari lililokuwa limetegwa bomu limeripuka katika mgahawa mmoja mjini Mogadishu huko Somalia na mashahidi wanasema watu wasiopungua watatu wameuawa.
-
Kesi 290 za kipindupindu zaripotiwa Sudan Kusini
Jul 26, 2016 22:11Wizara ya Afya Sudan Kusini imethibitisha kutokea mripuko wa kipindupindu nchini humo huku kesi karibu 300 za ugonjwa huo zikiripotiwa.
-
Mripuko wa bomu watikisa viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo
May 26, 2016 03:36Idadi kubwa ya watu wanahofiwa kupoteza maisha katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Giza, ambao uko karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC
Apr 16, 2016 02:50Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu watatu wauawa katika mripuko Somalia
Apr 13, 2016 23:18Watu watatu wameuawa na wengine wasiopungua sita kujeruhiwa katika mlipuko ulitokea jana Jumatano katika soko lililokuwa na watu wengi huko Somalia.
-
Mripuko ndani ya msikiti waua watu wawili na kujeruhi 15 nchini Somalia
Mar 31, 2016 23:52Watu wawili wameuawa na wengine 15 wamejeruhiwa wakati ulipotokea mripuko ndani ya msikiti katika mji wa Beledweyne mkoani Hiiraan katikati mwa Somalia hapo jana.
-
Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi
Feb 22, 2016 13:06Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.