Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni waendelea kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Jun 14, 2017 21:59

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni jana Jumatano waliuvamia tena msikiti wa al Aqswa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Jun 11, 2017 09:36

    Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wazayuni wauvunjia heshima Msikiti wa al-Aqswa kwa siku ya pili mtawalia

    Wazayuni wauvunjia heshima Msikiti wa al-Aqswa kwa siku ya pili mtawalia

    Jun 01, 2017 02:54

    Walowezi wa Kizayuni wameuvunjia heshima tena msikiti wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu kwa siku ya pili mtawalia baada ya kufanya uvamizi katika eneo la ndani la msikiti huo mtakatifu huko Baytul Muqaddas.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti wa al -Aqswa

    May 29, 2017 09:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wamevamia tena Msikiti wa al Aqsa kupitia upande wa Bab al-Magharibah na kwa mara nyingine tena kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Waislamu duniani washerehekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Apr 25, 2017 10:37

    Waislamu wa maeneo mbalimbali ya dunia wameungana katika kusherehekea siku ya kubaathiwa Mtume Muhammad (saw).

  • Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Hatua za Wazayuni za kuyavunjia heshima maeneo ya Kiislamu, Palestina

    Apr 14, 2017 10:17

    Walowezi wa Kizayuni wakisaidiwa na kupewa ulinzi na askari polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia tena na kuuvunjia heshima msikiti wa Al-Aqsa na wa Haram ya Nabii Ibrahim (as).

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Apr 06, 2017 10:19

    Karibu walowezi 50 wa Kizayuni leo Alkhamisi wamekivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Masjidul Aqswa na kuuvujia heshima msikiti huo mtakatifu kwa ulinzi kamili wa polisi wa Israel.

  • Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Adiis: Jinai za Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa zimeongezeka

    Apr 04, 2017 03:26

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina amesema jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya uhalifu 99 wa aina mbalimbali dhidi ya Msikiti wa al Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim katika mwezi uliopita wa Machi pekee.

  • Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Waziri wa Palestina: Israel inataka kuubomoa msikiti wa al-Aqswa

    Feb 27, 2017 04:22

    Waziri wa Waqfu na Masuala ya Kidini wa Palestina ametahadharisha kuhusiana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kuubomoa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mamia ya Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Mamia ya Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu

    Feb 04, 2017 00:25

    Vyombo vya habari vya Palestina vimetangaza habari isemayo kuwa, zaidi ya walowezi 370 wa Kizayuni wameuvamia Msikiti wa al Aqsa, ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, wiki iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS