-
Baada ya mafuriko Msumbiji, WMO yatahadharisha kuhusu mabadiliko ya tabianchi
Mar 28, 2019 07:58Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) limesema dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazongezeka kote duniani kukishuhudiwa kiwango kikubwa cha hewa chafuzi ya viwandani inayosababisha ongezeko la joto na kufikia viwango vya hatari.
-
Misaada ya UNCHR yaanza kuwasili Msumbiji baada ya mafuriko
Mar 28, 2019 07:57Ndege ya Shirika la kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR yenye msaada kwa watu walioathiriwa na kimbunga cha Idai imewasili Maputo, Msumbuji.
-
WHO yatahadharisha kuhusu kuibuka maradhi ya kipindupindu nchini Msumbiji
Mar 27, 2019 07:42Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusiana na kuibuka wimbi la pili la maradhi ya kipindupindu na maradhi mengine katika nchi ya Msumbiji iliyopigwa na kimbunga cha Idai hivi karibuni.
-
Msaada wa dola milioni 20 kufuatia maafa ya mafuriko kusini mwa Afrika
Mar 21, 2019 07:40Watu zaidi ya 500 wamthibitishwa kupoteza maisha Zimbabwe, Malawi na Msumbiji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na kimbuga Idai na kuwaacha maelfu bila makazi na hivyo wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu. Kufuatia hali hiyo, mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa umetangaza kutoa msaada wa dola milioni 20 kusaidia waathirika.
-
Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji
Mar 18, 2019 07:56Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.
-
Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika
Mar 15, 2019 01:18Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.
-
UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji
Mar 12, 2019 07:40Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji.
-
Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji
Feb 09, 2019 07:44Kwa akali watu saba wameuawa katika shambulizi jingine la kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji.
-
Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji
Jan 15, 2019 14:40Kwa akali watu 12 wameuawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.
-
Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'
Jan 01, 2019 08:16Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.