Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Baada ya mafuriko Msumbiji, WMO yatahadharisha kuhusu mabadiliko ya tabianchi

    Baada ya mafuriko Msumbiji, WMO yatahadharisha kuhusu mabadiliko ya tabianchi

    Mar 28, 2019 07:58

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani (WMO) limesema dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazongezeka kote duniani kukishuhudiwa kiwango kikubwa cha hewa chafuzi ya viwandani inayosababisha ongezeko la joto na kufikia viwango vya hatari.

  • Misaada ya UNCHR yaanza kuwasili Msumbiji baada ya mafuriko

    Misaada ya UNCHR yaanza kuwasili Msumbiji baada ya mafuriko

    Mar 28, 2019 07:57

    Ndege ya Shirika la kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR yenye msaada kwa watu walioathiriwa na kimbunga cha Idai imewasili Maputo, Msumbuji.

  • WHO yatahadharisha kuhusu kuibuka maradhi ya kipindupindu nchini Msumbiji

    WHO yatahadharisha kuhusu kuibuka maradhi ya kipindupindu nchini Msumbiji

    Mar 27, 2019 07:42

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusiana na kuibuka wimbi la pili la maradhi ya kipindupindu na maradhi mengine katika nchi ya Msumbiji iliyopigwa na kimbunga cha Idai hivi karibuni.

  • Msaada wa dola milioni 20 kufuatia maafa ya mafuriko kusini mwa Afrika

    Msaada wa dola milioni 20 kufuatia maafa ya mafuriko kusini mwa Afrika

    Mar 21, 2019 07:40

    Watu zaidi ya 500 wamthibitishwa kupoteza maisha Zimbabwe, Malawi na Msumbiji kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na kimbuga Idai na kuwaacha maelfu bila makazi na hivyo wanahitaji msaada wa dharura wa kibinadamu. Kufuatia hali hiyo, mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa umetangaza kutoa msaada wa dola milioni 20 kusaidia waathirika.

  • Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Mar 18, 2019 07:56

    Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.

  • Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mafuriko yaendelea kuua katika nchi za kusini mwa Afrika

    Mar 15, 2019 01:18

    Makumi ya watu wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Malawi.

  • UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    UN: Kimbunga na mafuriko yameua watu 10 Msumbiji

    Mar 12, 2019 07:40

    Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Msumbiji.

  • Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Feb 09, 2019 07:44

    Kwa akali watu saba wameuawa katika shambulizi jingine la kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Jan 15, 2019 14:40

    Kwa akali watu 12 wameuawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.

  • Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Jan 01, 2019 08:16

    Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS