-
Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji
Feb 09, 2019 04:14Kwa akali watu saba wameuawa katika shambulizi jingine la kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji.
-
Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji
Jan 15, 2019 11:10Kwa akali watu 12 wameuawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.
-
Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'
Jan 01, 2019 04:46Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.
-
HRW: Askari usalama Msumbiji wanakiuka haki za binadamu
Dec 04, 2018 21:40Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limevituhumu vyombo vya usalama vya Msumbiji kuwa vinakiuka haki za binadamu katika operesheni zake za kupambana na ugaidi kaskazini mwa nchi.
-
Al Shabab 200 wapandishwa kizimbani nchini Msumbiji
Oct 04, 2018 23:33Maafisa wa mahaka za Msumbiji wametangaza kuwa wamewahukumu wanachama 200 wa kundi la kigaidi la al Shabab.
-
Hujuma za kigaidi zalipuka tena Msumbiji, 12 wauawa
Sep 21, 2018 09:16Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu 12 na kujeruhiwa wengine kadhaa.
-
Ripoti: Mashambulizi ya 'kigaidi' Msumbiji yameua watu 39 tangu Mei
Jun 20, 2018 03:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 39 wameuawa katika mashambulizi yanayoaminika kuwa ya kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji tangu mwezi Mei mwaka huu hadi sasa.
-
Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji
Jun 06, 2018 02:57Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu saba kwa kuwakata vichwa.
-
Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji
May 29, 2018 09:16Kundi moja la kigaidi limevamia kijiji cha Monjane kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu kumi wakiwemo watoto wadogo kwa kuwakata vichwa.
-
Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia
May 04, 2018 09:09Kiongozi wa zamani wa waasi nchini Msumbuji, Afonso Dhlakama, ambaye alikuwa agombee urais mwakani, amefariki dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 65.