Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Watu wengine 7 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Feb 09, 2019 04:14

    Kwa akali watu saba wameuawa katika shambulizi jingine la kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Watu 12 wauawa katika hujuma ya kigaidi nchini Msumbiji

    Jan 15, 2019 11:10

    Kwa akali watu 12 wameuawa katika shambulizi la kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.

  • Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Msumbiji: Raia wa Tanzania na Afrika Kusini ndio wanaoongoza 'al-Shabaab'

    Jan 01, 2019 04:46

    Waendesha Mashitaka nchini Msumbiji wamewataja raia wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini kuwa miongoni mwa makamanda wa kundi la kigaidi la al-Shabaab ambalo hapo awali lililikuwa linajiita Ahlu Sunna Wal Jamaa, linalofanya hujuma za umwagaji damu katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa nchi.

  • HRW: Askari usalama Msumbiji wanakiuka haki za binadamu

    HRW: Askari usalama Msumbiji wanakiuka haki za binadamu

    Dec 04, 2018 21:40

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limevituhumu vyombo vya usalama vya Msumbiji kuwa vinakiuka haki za binadamu katika operesheni zake za kupambana na ugaidi kaskazini mwa nchi.

  • Al Shabab 200 wapandishwa kizimbani nchini Msumbiji

    Al Shabab 200 wapandishwa kizimbani nchini Msumbiji

    Oct 04, 2018 23:33

    Maafisa wa mahaka za Msumbiji wametangaza kuwa wamewahukumu wanachama 200 wa kundi la kigaidi la al Shabab.

  • Hujuma za kigaidi zalipuka tena Msumbiji, 12 wauawa

    Hujuma za kigaidi zalipuka tena Msumbiji, 12 wauawa

    Sep 21, 2018 09:16

    Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu 12 na kujeruhiwa wengine kadhaa.

  • Ripoti: Mashambulizi ya 'kigaidi' Msumbiji yameua watu 39 tangu Mei

    Ripoti: Mashambulizi ya 'kigaidi' Msumbiji yameua watu 39 tangu Mei

    Jun 20, 2018 03:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kwa akali watu 39 wameuawa katika mashambulizi yanayoaminika kuwa ya kigaidi huko kaskazini mwa Msumbiji tangu mwezi Mei mwaka huu hadi sasa.

  • Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Magaidi wafanya mauaji mengine ya kinyama nchini Msumbiji

    Jun 06, 2018 02:57

    Kundi la kigaidi linaloaminika kuwa na mfungamano na al-Shabaab ya Somalia limevamia kijiji kimoja katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu saba kwa kuwakata vichwa.

  • Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji

    Magaidi waua watu 10 kwa kuwakata vichwa nchini Msumbiji

    May 29, 2018 09:16

    Kundi moja la kigaidi limevamia kijiji cha Monjane kaskazini mwa Msumbiji na kuua watu kumi wakiwemo watoto wadogo kwa kuwakata vichwa.

  • Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia

    Afonso Dhlakama, kiongozi wa zamani wa waasi Msumbiji, afariki dunia

    May 04, 2018 09:09

    Kiongozi wa zamani wa waasi nchini Msumbuji, Afonso Dhlakama, ambaye alikuwa agombee urais mwakani, amefariki dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 65.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS