Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Mar 15, 2017 02:29

    Wizara ya Afya ya Msumbiji imetangaza kwamba mamia ya watu wameathiriwa na ugonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Mar 04, 2017 03:22

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji, Renamo, ambacho pia ni harakati ya waasi, kimeongeza muda wa usitishwaji mapigano kwa miezi mingine miwili ili kutoa mwanya wa mazungumzo na serikali ya Rais Filipe Nyusi.

  • Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Feb 05, 2017 14:20

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha baada ya mgodi kuwaporomokea katika mkoa wa Zambézia nchini Msumbiji.

  • Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Jan 03, 2017 14:21

    Chama kikuu cha upinzani nchini Msumbiji kimetangaza kurefusha muda wa usitishaji vita kati yake na serikali kwa muda wa miezi miwili, ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani.

  • Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Nov 18, 2016 07:56

    Zaidi ya watu 70 wamepoteza maisha baada ya lori la mafuta kuripuka katika mji wa Caphiridzange, mkoa wa Tete kaskazini mwa Msumbiji.

  • Kuongezeka mashambulizi ya utumiaji silaha nchini Msumbiji

    Kuongezeka mashambulizi ya utumiaji silaha nchini Msumbiji

    May 31, 2016 04:17

    Msemaji wa polisi ya Msumbijii amesisitiza kuwa, kushadidi mashambulizi ya utumiaji silaha nchini humo ni jambo linalotia wasiwasi.

  • Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    May 04, 2016 04:23

    Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.

  • Madai ya serikali ya Msumbiji kuhusu usiri katika deni la nchi hiyo

    Madai ya serikali ya Msumbiji kuhusu usiri katika deni la nchi hiyo

    Apr 30, 2016 04:13

    Waziri Mkuu wa Msumbiji amesema kuwa, machafuko nchini humo ndiyo sababu kuu iliyoifanya serikali kuamua kuficha habari kuhusu deni la dola bilioni moja na laki nne la nchi hiyo kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF.

  • Jeshi la Msumbiji latuhumiwa kujihusha na vitendo vya mauaji na ubakaji

    Jeshi la Msumbiji latuhumiwa kujihusha na vitendo vya mauaji na ubakaji

    Jan 27, 2016 13:40

    Jeshi la Msumbiji linatuhumiwa kuhusika na vitendo vya mauaji na ubakaji dhidi ya raia.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS