Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Rais wa Msumbiji awapiga kalamu nyekundu mawaziri wanne

    Dec 13, 2017 11:48

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji amewafuta kazi mawaziri wanne wakiwemo wa mambo ya nje na mafuta. Hata hivyo ofisi yake haijatoa sababu ya kupigwa kalamu nyekundu mawaziri hao.

  • Rais wa Msumbiji awafuta kazi wakuu wa upelelezi na majeshi

    Rais wa Msumbiji awafuta kazi wakuu wa upelelezi na majeshi

    Oct 25, 2017 03:38

    Rais wa Msumbiji amewavuta kazi Mkuu wa Shirika la Upelelezi na Mkuu wa Majeshi ya nchi hiyo wiki mbili baada ya mauaji ya watu 16 katika shambulizi lililofanyika kaskazini mwa nchi hiyo.

  • 16 wauawa katika mapigano na polisi nchini Msumbiji

    16 wauawa katika mapigano na polisi nchini Msumbiji

    Oct 08, 2017 01:16

    Watu 16 wameuawa baada ya watu wenye silaha kushambulia vituo vya polisi katika mji mmoja mdogo wa kaskazini mwa Msumbiji. Polisi wawili na watu 14 wenye silaha wameuawa katika mlolongo wa mashambulizi dhidi ya vituo vya polisi katika mji mdogo wa Mocimboa de Praia, kaskazini mwa Msumbiji.

  • Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Watu 1,200 waambukizwa kipindupindu nchini Msumbiji

    Mar 14, 2017 22:59

    Wizara ya Afya ya Msumbiji imetangaza kwamba mamia ya watu wameathiriwa na ugonjwa wa kipindupindu katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Muda wa usitishwaji vita waongezwa Msumbiji

    Mar 03, 2017 23:52

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji, Renamo, ambacho pia ni harakati ya waasi, kimeongeza muda wa usitishwaji mapigano kwa miezi mingine miwili ili kutoa mwanya wa mazungumzo na serikali ya Rais Filipe Nyusi.

  • Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Watu 12 wafariki dunia kwenye mgodi nchini Msumbiji

    Feb 05, 2017 10:50

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha baada ya mgodi kuwaporomokea katika mkoa wa Zambézia nchini Msumbiji.

  • Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Chama kikuu cha upinzani Msumbiji charefusha muda wa usitishwaji vita

    Jan 03, 2017 10:51

    Chama kikuu cha upinzani nchini Msumbiji kimetangaza kurefusha muda wa usitishaji vita kati yake na serikali kwa muda wa miezi miwili, ili kutoa nafasi kwa mazungumzo ya amani.

  • Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Lori la mafuta laripuka na kuua watu 73 nchini Msumbiji

    Nov 18, 2016 04:26

    Zaidi ya watu 70 wamepoteza maisha baada ya lori la mafuta kuripuka katika mji wa Caphiridzange, mkoa wa Tete kaskazini mwa Msumbiji.

  • Kuongezeka mashambulizi ya utumiaji silaha nchini Msumbiji

    Kuongezeka mashambulizi ya utumiaji silaha nchini Msumbiji

    May 30, 2016 23:47

    Msemaji wa polisi ya Msumbijii amesisitiza kuwa, kushadidi mashambulizi ya utumiaji silaha nchini humo ni jambo linalotia wasiwasi.

  • Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    Afrika Kusini na Zimbabwe zatimua raia 200 wa Msumbiji

    May 03, 2016 23:53

    Afrika Kusini na Zimbabwe zimewarejesha nyumbani raia 197 wa Msumbiji. Hayo yamesemwa na Idhaa ya Taifa ya Msumbuji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS