-
Adhama ya Maulidi (Kuzaliwa) ya Mtume Muhammad SAW
Nov 13, 2018 08:46Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Kama mnavyojua, tumo ndani ya Mfunguo Sita, mwezi ambao alizaliwa Bwana wetu Muhammad SAW. Leo katika dakika hizi chache, tutazungumzia adhama ya kuzaliwa mtukufu huyo tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa maelezo haya mafupi.
-
Haki za wazazi wawili kwa mujibu wa hadithi za Bwana Mtume SAW + Sauti
Nov 06, 2018 09:40Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Hivi sasa tumo katika maombolezo na huzuni kubwa ya kukumbuka kufariki dunia kipenzi chetu na ruwaza yetu njema, Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad al Mustafa SAW ambaye hakuna kiumbe yeyote bora kuliko yeye na ambaye aliaga dunia katika siku ya mwisho ya mwezi wa Mfunguo Tano Safar mwaka wa 11 Hijiria katika mji mtakatifu wa Madina akiwa na umri wa miaka 63 na kuzikwa katika mji huohuo.
-
Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya: Kumvunjia heshima Mtume wa Uislamu si uhuru wa kujieleza
Oct 26, 2018 04:49Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya imehukumu kwamba, kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) si sehemu ya uhuru wa kujieleza.
-
9 Rabiul Awwal, Siku ya Kuanza Uongozi wa Imam wa Zama
Dec 08, 2016 16:43Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nami katika Makala ya Wiki hii ambayo itazungumzia siku ya kuanza uongozi wa Imam wa Zama, Imam Mahdi (as) Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake.
-
Jumanne 20 Septemba 2016
Sep 20, 2016 06:11Leo ni Jumanne 18 Dhulhija 1437 Hijria sawa na tarehe 20 Septemba 2016.
-
Jumatano, Julai 20, 2016
Jul 20, 2016 02:40Leo ni Jumatano tarehe 15 Shawwal 1437 Hijria sawa na Julai 20, 2016.
-
Alkhamisi 23 Juni, 2016
Jun 23, 2016 06:07Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Ramadhani 1437 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Juni 2016.
-
Marekani inachochea chuki dhidi ya Uislamu
May 05, 2016 08:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inachochea chuki dhidi ya Uislamu, Iran na Ushia.