Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Jan 30, 2024 02:44

    Duru mbalimbali za habari zimeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya njama za kila namna za kutaka vita vienee kwenye eneo zima la Asia Magharibi.

  • "Ubeberu wa US unaporomoka, muqawama ndiyo nguzo ya usalama katika eneo"

    Dec 25, 2023 10:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri wenyewe kwamba, nidhamu ya dunia iliyojengeka katika misingi ya ubeberu ipo katika mkondo wa kuporomoka, na kwamba mabeberu hawawezi kuendelea kuwatwisha walimwengu misimamo na mitazamo yao.

  • Kukamatwa majasusi wa utawala wa Kizayuni na Wanamuqawama

    Kukamatwa majasusi wa utawala wa Kizayuni na Wanamuqawama

    Dec 25, 2023 06:07

    Makamanda wa muqawama wamewatia mbaroni majasusi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza baada ya kuchunguza nyaraka za usalama zilizopatikana wakati wa operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Wanajeshi wa Israel walioangamizwa na wanamuqawa wakaribia 500

    Wanajeshi wa Israel walioangamizwa na wanamuqawa wakaribia 500

    Dec 23, 2023 12:10

    Idadi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel walioangamizwa na wanamuqawama wa Palestina inazidi kuongezeka sambamba na wanajeshi wa jeshi hilo kuingiwa na kiwewe kutokana na operesheni za kijeshi dhidi yao katika Ukanda wa Gaza.

  • Uungaji mkono usio na kikomo wa US na UK kwa utawala wa Kizayuni; kuanzia misaada ya kila hali mpaka uwekaji vikwazo dhidi ya Muqawama

    Uungaji mkono usio na kikomo wa US na UK kwa utawala wa Kizayuni; kuanzia misaada ya kila hali mpaka uwekaji vikwazo dhidi ya Muqawama

    Dec 18, 2023 06:12

    Serikali za Marekani na Uingereza zinazojinasibu kuwa watetezi wa haki za binadamu, mara hii zimeendeleza uungaji mkono wao kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Gaza kwa kuwawekea vikwazo vipya makamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

  • HAMAS: Tuko tayari kwa vita vya muda mrefu na hatutaachana na Muqawama

    HAMAS: Tuko tayari kwa vita vya muda mrefu na hatutaachana na Muqawama

    Dec 14, 2023 07:49

    Osama Hamdan, Kiongozi Mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza azma thabiti ya harakati hiyo ya Muqawama wa Wapalestina yenye makao yake katika Ukanda wa Gaza ya kuendelea kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel, ambao umeliweka eneo hilo la pwani katika vita vya mtawalia vya mauaji ya kimbari.

  • Makundi ya muqawama yatoa mwito wa kufanyika 'mgomo wa ulimwengu'

    Makundi ya muqawama yatoa mwito wa kufanyika 'mgomo wa ulimwengu'

    Dec 10, 2023 04:01

    Muungano wa makundi ya muqawama wa Palestina umetoa mwito wa kufanyika 'mgomo kamili wa kimataifa' kwa ajili ya kuonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miezi miwili sasa.

  • Hizbullah: Muqawama hautoruhusu Wazayuni wafikie malengo yao Ghaza

    Hizbullah: Muqawama hautoruhusu Wazayuni wafikie malengo yao Ghaza

    Dec 02, 2023 10:39

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amegusia kuanza upya jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza na kusema kuwa, muqawama kamwe hautowaruhusu Wazayuni kufanikisha malengo yao haramu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa haraka jinai za utawala wa Kizayuni; azungumza na Hania na Al Nakhaleh

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa haraka jinai za utawala wa Kizayuni; azungumza na Hania na Al Nakhaleh

    Oct 23, 2023 12:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu kwa nyakati tofauti na viongozi wa muqawama wa Palestina na kusisitiza kusitishwa haraka iwezekanavyo jinai za utawala wa Kizayuni za mauaji dhidi ya raia wa Palestina.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Shambulio la Muqawama lililofanywa wakati mwafaka ni halali na linakubalika kimataifa

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Shambulio la Muqawama lililofanywa wakati mwafaka ni halali na linakubalika kimataifa

    Oct 20, 2023 13:33

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, shambulio liliofanywa wakati mwafaka la Muqawama ni halali na linakubalika katika uga wa kimataifa na dhamiri za umma; na halina pingamizi yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS