Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mwezi wa Ramadhani

  • Jihad Islami: Siku zilizobaki za Ramadhani ni uwanja wa vita vikali na wavamizi

    Jihad Islami: Siku zilizobaki za Ramadhani ni uwanja wa vita vikali na wavamizi

    Apr 12, 2022 07:48

    Mjumbe wa ngazi ya juu wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema kuwa, siku zilizosalia za mwezi mtukufu wa Ramadhani zitakuwa uwanja wa vita vikali na wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu na kuongeza kuwa, ujinga wowote wa utawala ghasibu wa Israel utauangamiza utawala huo.

  • Ramadhani, mwezi wa fursa

    Ramadhani, mwezi wa fursa

    Apr 11, 2022 10:56

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Tunakukaribisheni kusikilizaji kipindi hiki maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Raisi atuma salamu za Ramadhani kwa viongozi wa nchi za Kiislamu duniani

    Raisi atuma salamu za Ramadhani kwa viongozi wa nchi za Kiislamu duniani

    Apr 03, 2022 08:18

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa salamu za Ramadhan viongozi wa nchi za Kiislamu duniani.

  • Jumapili, 3 Aprili, 2022

    Jumapili, 3 Aprili, 2022

    Apr 03, 2022 03:33

    Leo ni Jumapili tarehe Mosi ya mwezi mtukufu wa Ramadhani 1443 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 3 Aprili 2022.

  • Iran yawanyooshea mkono wa kheri Waislamu duniani kwa kuwadia Ramadhani

    Iran yawanyooshea mkono wa kheri Waislamu duniani kwa kuwadia Ramadhani

    Apr 03, 2022 03:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza na kuwatakia Waislamu wote duniani kheri na baraka kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Jumatano, Aprili 14, 2021

    Jumatano, Aprili 14, 2021

    Apr 14, 2021 02:21

    Leo ni Jumatano tarehe Mosi Ramadhani 1442 Hijria sawa na tarehe 14 Aprili mwaka 2021.

  • Iran yawapongeza Waislamu kwa kuwadia mwezi wa Ramadhani

    Iran yawapongeza Waislamu kwa kuwadia mwezi wa Ramadhani

    Apr 13, 2021 07:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza na kuwatakia Waislamu wote duniani kheri na baraka kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Ndege za kivita za Iraq zashambulia ngome za magaidi wa ISIS nchini Iraq

    Ndege za kivita za Iraq zashambulia ngome za magaidi wa ISIS nchini Iraq

    Apr 11, 2021 07:45

    Ndege za kivita za Iraq zimeshambulia ngome za magaidi wa ISIS au Daesh katika Milima ya Hamrin mkoani Diyala ambapo magaidi kadhaa wameangamizwa

  • Utafiti: Ni salama kufunga Saumu katika janga la Corona

    Utafiti: Ni salama kufunga Saumu katika janga la Corona

    Apr 03, 2021 02:43

    Utafiti mpya uliofanywa nchini Uingereza umebainisha kuwa, funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ya mwaka jana 2020 haikusababisha kuongezeka idadi ya vifo vya ugonjwa wa Covid-19 miongoni mwa Waislamu nchini humo, kama ilivyodaiwa na baadhi ya viongozi na wanasiasa wahafidhina katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Kiongozi Muadhamu: Kutomuogopa adui, ni katika mafundisho muhimu ya Qurani

    Kiongozi Muadhamu: Kutomuogopa adui, ni katika mafundisho muhimu ya Qurani

    Apr 26, 2020 02:43

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kutomuogopa adui na kusimama kidete dhidi yake ni katika maamrisho na maelekezo muhimu ya Qurani Tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS