Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mwezi wa Ramadhani

  • Rais wa Afrika Kusini na Mwenyekiti wa AU awatumia Waislamu Salamu za Ramadhani

    Rais wa Afrika Kusini na Mwenyekiti wa AU awatumia Waislamu Salamu za Ramadhani

    Apr 25, 2020 10:59

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amewatumia Waislamu salamu kwa mnasba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Leo ni siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini Iran

    Leo ni siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani nchini Iran

    Apr 25, 2020 04:07

    Leo Jumamosi ni siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Fatwa ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Saumu ya Ramadhani wakati wa janga la corona

    Fatwa ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Saumu ya Ramadhani wakati wa janga la corona

    Apr 20, 2020 06:38

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amejibu swali (Istifta) kuhusu Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika mazingira ya sasa ya kuenea janga la COVID-19 au corona duniani.

  • Watu 80 wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhani jimboni Kano, Nigeria

    Watu 80 wakamatwa kwa kula mchana wa Ramadhani jimboni Kano, Nigeria

    May 17, 2019 07:29

    Polisi wanaosimamia sheria za Kiislamu (Sharia) katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria wamewatia mbaroni watu 80 kwa tuhuma za kula mchana hadharani, wakati huu wa funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Kesho Jumanne, Siku ya Kwanza Ramadhani Iraq, Iran, Oman

    Kesho Jumanne, Siku ya Kwanza Ramadhani Iraq, Iran, Oman

    May 06, 2019 08:05

    Kesho Jumanne Mei 7 itasadifiana na siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika nchi kadhaa duniani.

  • Usalama Waimarishwa misikitini Marekani kabla ya kuanza Mwezi wa Ramadhani

    Usalama Waimarishwa misikitini Marekani kabla ya kuanza Mwezi wa Ramadhani

    May 06, 2019 07:55

    Misikiti nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha kabla ya kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Umoja wa Mataifa watoa pongezi za Ramadhani

    Umoja wa Mataifa watoa pongezi za Ramadhani

    May 06, 2019 03:50

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mkono wa pongezi na fanaka kwa Waislamu wote duniani kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani

  • Saudia yaendelea kuitumia Hija kisiasa kwa kuwazuia Waqatar wasiende kufanya Umra ya Ramadhani

    Saudia yaendelea kuitumia Hija kisiasa kwa kuwazuia Waqatar wasiende kufanya Umra ya Ramadhani

    Jun 06, 2018 02:32

    Serikali ya Saudi Arabia imeendelea kuitumia ibada ya Hija kisiasa kwa kuweka masharti kadhaa yanayowazuia Waislamu kutoka Qatar kwenda kutekeleza Umra katika mwezi huu wa Ramadhani.

  • Mwaliko wa Ramadhani

    Mwaliko wa Ramadhani

    May 28, 2018 12:14

    Waashiki wa Qur'ani Tukufu hukikaribia zaidi kitabu hiki cha mbinguni katika mwezi huu mtukufu na kuzipa nyoyo zao msisimuko na uhai mpya kwa kusoma, kujifunza na kudiriki maarifa yake.

  • Sharif: Maandamano ya Siku ya Quds ni nembo ya Umoja wa Umma wa Kiislamu

    Sharif: Maandamano ya Siku ya Quds ni nembo ya Umoja wa Umma wa Kiislamu

    May 26, 2018 15:26

    Mkuu wa Idara ia Intifadha na Quds Katika Shirika la Tablighi ya Kiislamu la Iran Jenerali Ramadhan Sharif amesema: "Maandamano ya Siku ya Quds nchini Iran na maeneo mengine duniani sasa yamegeuka kuwa jukwaa la Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na kuunga mkono watu wa Palestina."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS