Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Daily Telegraph: Jeshi la Myanmar linawaua kwa umati Waislamu wa Rohingya

    Daily Telegraph: Jeshi la Myanmar linawaua kwa umati Waislamu wa Rohingya

    Sep 03, 2017 13:50

    Gazeti la Daily Telegraph la nchini Uingereza limeandika katika ripoti yake kwamba, jeshi la Myanmar limekuwa likifanya mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Erdogan: Mauaji ya Waislamu wa Warohingya ni ya kimbari

    Sep 02, 2017 07:42

    Rais wa Uturuki Recep Teyyip Erdogan ameyataja mauaji ya mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar kama mauaji ya kimbari.

  • Waislamu 400 wafariki dunia Myanmar katika kipindi cha wiki moja

    Waislamu 400 wafariki dunia Myanmar katika kipindi cha wiki moja

    Sep 01, 2017 15:42

    Waislamu takribani 400 wamefariki dunia nchini Myanmar katika kipindi cha wiki moja tokea jeshi la nchi hiyo lianzishe kampeni mpya ya kuwakandamiza Waisalmu wa jamii ya Rohingya.

  • Jamii ya kimataifa yatakiwa kuvunja kimya chake mbele ya mauaji ya Waislamu Myanmar

    Jamii ya kimataifa yatakiwa kuvunja kimya chake mbele ya mauaji ya Waislamu Myanmar

    Sep 01, 2017 04:14

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu wa jamii ya Rohingya yenye makao yake nchini Uingereza amekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waisalmu nchini Myanmar

  • Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh

    Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh

    Aug 31, 2017 13:40

    Kwa akali wakimbizi 17 Waislamu wa kabila la Rohingya wamekufa maji katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh wakikimbia jinai wanazofanyiwa na Mabudha wenye misimamo ya kuchupa mipaka na jeshi la Myanmar.

  • Baraza la Ulaya lataka kusitishwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Baraza la Ulaya lataka kusitishwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Aug 30, 2017 07:33

    Baraza la Ulaya limetoa wito wa kukomeshwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na mabudha wenye misimamo ya kufurutu ada wa Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchi hiyo.

  • Iran yaitaka serikali ya Myanmar izuie ukiukwaji haki za Waislamu wa Rohingya

    Iran yaitaka serikali ya Myanmar izuie ukiukwaji haki za Waislamu wa Rohingya

    Aug 29, 2017 03:48

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Myanmar na imeitaka serikali ya nchi hiyo izuie ukiukwaji wa haki za Waislamu nchini humo.

  • Al Azhar yalaani mauaji ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Al Azhar yalaani mauaji ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Aug 28, 2017 06:57

    Taasisi ya Al Azhar nchini Misri imelaani vikali mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wa Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.

  • Papa asisitiza kusitishwa mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Papa asisitiza kusitishwa mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Rohingya

    Aug 27, 2017 14:39

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesisitiza kusitishwa mashambulizi na utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar.

  • Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Aug 26, 2017 03:53

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS