Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani

    Sep 28, 2023 07:53

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.

  • Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia

    Kukata tamaa Marekani na Nato kuhusu ushindi wa Ukraine katika vita na Russia

    Sep 19, 2023 02:30

    Jenerali Mark Milley, mkuu wa majeshi ya Marekani, amesema ni vigumu kufikia natija ya haraka kuhusu vita vya Ukraine na kwamba muda mrefu zaidi unahitajika kabla ya Ukraine kufikia ushindi huo.

  • Iran: Chokochoko za NATO ni miongoni mwa sababu kuu za vita vya Ukraine

    Iran: Chokochoko za NATO ni miongoni mwa sababu kuu za vita vya Ukraine

    Aug 07, 2023 12:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian amegusia juhudi za Tehran kuelekea suluhisho la kisiasa la mgogoro wa Ukraine na kusisitiza kuwa muungano wa kijeshi wa NATO unaoongozwa na Marekani na chokochoko ulizofanya ni miongoni mwa sababu zilizopelekea kuzuka mgogoro huo.

  • Biden aonya: Kuipatia Ukraine uanachama wa NATO wakati wa vita kutaishia kwenye Vita vya Tatu vya Dunia

    Biden aonya: Kuipatia Ukraine uanachama wa NATO wakati wa vita kutaishia kwenye Vita vya Tatu vya Dunia

    Jul 14, 2023 11:49

    Rais Joe Biden wa Marekani ameonya kuwa uwezekano wa Ukraine kujiunga na NATO wakati iko vitani na Russia huenda matokeo yake ya mwisho yakawa ni kuzuka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Kubadilika msimamo wa Uturuki kuhusu uanachama wa Sweden katika muungano wa Nato

    Kubadilika msimamo wa Uturuki kuhusu uanachama wa Sweden katika muungano wa Nato

    Jul 13, 2023 02:16

    Baada ya mivutano mikubwa ya kisiasa kuhusu suala la kujiunga Sweden na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO), na upinzani wa Uturuki dhiidi ya suala hilo, hatimaye Rais Reccep Tayyep Erdogan amekubali Sweden kuwa mwanachama ndani ya NATO.

  • Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    Russia: Katika masharti yetu ya suluhu ni Ukraine kutokuwa mwanachama wa NATO na EU

    May 27, 2023 10:48

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa kuachana Ukraine na ndoto ya kujiunga na shirika la kijeshi la NATO na Umoja wa Ulaya EU ni miongoni mwa masharti ya Moscow ya kufanya suluhu na nchi hiyo.

  • Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Apr 07, 2023 02:20

    Akizungumzia kufeli kwa shughuli za Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO), msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema wakati wa kustaafu muungano wa NATO umewadia.

  • Mgombea urais wa Uturuki: Nikishinda uchaguzi tutajitoa katika shirika la kijeshi la NATO

    Mgombea urais wa Uturuki: Nikishinda uchaguzi tutajitoa katika shirika la kijeshi la NATO

    Mar 24, 2023 10:00

    Dogu Princek, kiongozi wa Chama cha Kizalendo (Patriotic Party) na mgombea urais wa Uturuki kwa tiketi ya chama hicho ametoa ahadi kwamba, ikiwa atashinda uchaguzi huo, nchi hiyo itajitoa katika shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.

  • Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Jan 20, 2023 12:31

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa muungano wa kijeshi wa NATO uko vitani na nchi hiyo kupitia Ukraine. Ameongeza kuwa: "Kinachotokea Ukraine ni matokeo ya maandalizi ya Marekani ya vita vya mseto dhidi ya Russia." Ameisitiza kuwa Umoja wa Ulaya umepoteza uhuru wake na sasa uko chini ya satwa ya Marekani moja kwa moja.

  • Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Russia: Jinai za kivita za Marekani na Nato Afghanistan zimepuuzwa

    Dec 21, 2022 07:24

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa jinai za kivita za Marekani na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) huko Afghanistan zimepuuzwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS