Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Atwan: Israel haina ubavu wa kutekeleza vitisho inavyotoa dhidi ya Iran

    Nov 29, 2017 01:35

    Gazeti la Al-Ra'yul-Yaum limeandika kuhusu vitisho hewa vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza kwamba Tel Aviv haiwezi kutekeleza kivitendo vitisho vyake vya kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran nchini Syria na kumuua kigaidi Jenerali Qassim Soleimani, kwa sababu ikijaribu kufanya hivyo itakabiliwa na mwisho mbaya na si hasha ikawa sababu ya kuangamizwa moja kwa moja.

  • Netanyahu akiri kustawi uhusiano wa Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu

    Netanyahu akiri kustawi uhusiano wa Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu

    Nov 15, 2017 00:22

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema hatofafanua kwa undani kinachoendelea katika uhusiano wa utawala huo na baadhi ya nchi za Kiarabu lakini amesisitiza kwamba uhusiano wa Tel Aviv na nchi hizo umo katika hali ya kupanuka na kustawi.

  • Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Waisraeli waandamana Tel Aviv dhidi ya ufisadi wa Netanyahu

    Oct 08, 2017 04:20

    Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu utawala wa Kizayuni wameandamana huko Tel Aviv wakitaka kushughulikiwa kesi ya ufisadi inayomkabili Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu.

  • Iran yatoa jibu kwa matamshi ya kilaghai ya Netanyahu katika UNGA

    Iran yatoa jibu kwa matamshi ya kilaghai ya Netanyahu katika UNGA

    Sep 20, 2017 02:58

    Mshauri wa ofisi ya uwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema matamshi dhidi ya Iran aliyotoa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ni ya kinafiki na ya kilaghai.

  • Ubalozi mdogo wa Israel wafungwa New York, Netanyahu atishiwa kuuawa

    Ubalozi mdogo wa Israel wafungwa New York, Netanyahu atishiwa kuuawa

    Sep 16, 2017 03:47

    Ubalozi mdogo wa utawala haramu wa Israel mjini New York, Marekani umefungwa baada ya kupokea vitisho.

  • Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Wazayuni waandamana tena kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Aug 27, 2017 03:24

    Kwa mara nyingine tena maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Tel Aviv huko Israel kushinikiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.

  • Maelfu ya Wazayuni wasisitiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu

    Maelfu ya Wazayuni wasisitiza kuuzuliwa Benjamin Netanyahu

    Aug 13, 2017 09:50

    Maelfu ya Wazayuni wamefanya maandamano jirani na mji wa Tel Aviv Israel na kutoa wito wa kuuzuliwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakimtuhumu kwa kujihusisha na vitendo vya ufisadi.

  • Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Wazayuni waandamana kulalamikia ufisadi wa Netanyahu

    Aug 06, 2017 02:29

    Mamia ya Wazayuni wamefanya maandamano katika mji wa Petah Tikva dhidi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anayeandamwa na tuhuma za ufisadi.

  • Jenerali Mzayuni amuonya Netanyahu kuhusu kuichokoza HAMAS

    Jenerali Mzayuni amuonya Netanyahu kuhusu kuichokoza HAMAS

    Jun 18, 2017 03:21

    Jenerali mmoja Mzayuni amemuonya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu siasa zake mbele ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS na kusema huko ni kucheza na moto.

  • Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Jun 11, 2017 22:53

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), linalowasaidia mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS