-
Polisi ya Israel kumsaili tena Waziri Mkuu Netanyahu
Mar 06, 2017 04:08Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Kizayuni atahojiwa tena na polisi ya utawala huo kwa mara ya nne katika muda wa mwezi mmoja.
-
Zarif ajibu madai ya Netanyahu, historia ya Israel imejaa ukatili
Feb 18, 2017 01:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusu mipango ya kujihami ya makombora ya Iran.
-
Jukwaa la White House; kiriri cha Netanyahu cha kutolea matamshi ya ghiliba
Feb 16, 2017 23:39Safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu, nchini Marekani na matamshi aliyotoa katika mazungumzo na rais wa nchi hiyo Donald Trump ni dhihirisho la ghilba na udanganyifu wa kiongozi huyo wa Kizayuni.
-
Benjamin Netanyahu azidi kuandamwa
Jan 15, 2017 03:47Mamia ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya maandamano ya kulaani ufisadi wa kifedha wa viongozi wa utawala huo hususan Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel, mjini Tel Aviv.
-
Netanyahu aahirisha kikao cha kuidhinisha ujenzi mpya wa vitongoji Quds Mashariki
Dec 28, 2016 23:08Viongozi wa utawala ghasibu wa Kizayunii wametangaza habari ya kuakhirishwa upigaji kura wa kuidhinisha mpango wa kuruhusu ujenzi wa nyumba mpya 500 za walowezi wa Kizayuni huko mashariki mwa Baitul Muqaddas.
-
Mchambuzi: Hatua ya Marekani UN ni ulipizaji kisasi wa Obama dhidi ya Netanyahu
Dec 24, 2016 12:12Norman Finkelstein, mwanaharakati na mtaalamu wa Sayansi ya Siasa wa New York, Marekani amesema, Rais wa nchi hiyo Barack Obama alitaka kulipiza kisasi binafsi kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kupitia uamuzi wa kutopiga kura ya kupinga azimio dhidi ya utawala huo wa Kizayuni katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Wananchi wa Azerbaijan waandamana dhidi ya safari ya Netanyahu
Dec 13, 2016 04:51Wananchi wa Azerbaijan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Baku, kulaani safari ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ambaye anaanza ziara isiyo ya kawaida katika nchi mbili za Kiislamu za Asia ya Kati.
-
Polisi kumchunguza Netanyahu kwa kashfa ya ununuzi wa nyambizi
Nov 24, 2016 10:52Mwanasheria Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametoa agizo la kuchunguzwa Waziri Mkuu wa utawala huo wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, anayeandamwa na kashfa ya ununuzi wa nyambizi kutoka Ujerumani.
-
Netanyahu aunga mkono muswada wa kupiga marufuku adhana
Nov 14, 2016 00:37Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kwamba anaunga mkono kikamilifu muswada unaotaka kupigwa marufuku kusomwa adhana kwa vipaza sauti misikitini katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
VIDEO: Kama ulipitwa na video wakati Netanyahu alipoaibika; wakati mbunge Muislamu wa Uholanzi alipokataa kumpa mkono, ingia hapa kuiona
Oct 05, 2016 07:15Tunahan Kuzu, mbunge Muislamu wa chama cha DENK katika bunge la Uholanzi amekataa kumpa mkono Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa safari rasmi aliyofanya kuitembelea nchi hiyo.