-
Amnesty International: Watoto wengi wanauawa au kusajiliwa na makundi ya kitakfiri
Sep 13, 2021 21:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, watoto wengi wamekuwa wakisajiliwa na kutumiwa kama askari vitani na makundi ya kitakfiri au kuuawa na makundi hayo katika maeneo ya mpaka wa Burkina Faso, Niger na Mali
-
Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria
Sep 04, 2021 02:17Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.
-
Niger: Wanajeshi 16 wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram
Aug 26, 2021 03:34Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kwa akali wanajeshi wake 16 wameuawa kufuatia shambulio la kigaidi kusini magharibi mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Makumi ya watu wauawa katika hujuma ya silaha magharibi mwa Niger
Aug 17, 2021 11:21Kundi moja la watu wasiojulikana limeua karibu raia 40 huko magharini mwa nchi ya Niger.
-
Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger
Jul 30, 2021 08:09Raia 19 wameuawa kwenye shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi katika mpaka wa Niger na Mali.
-
Watu 14 wauawa katika shambulio la kundi la wabeba silaha magharibi ya Niger
Jul 27, 2021 10:23Serikali ya Niger imetangaza kuwa raia 14 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na kundi la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.
-
Watu 19 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Niger
Apr 19, 2021 03:16Kwa akali watu 19 wanaripotiwa kuuawa katika shambulio la wabeba silaha huko magharibi mwa Niger,mpakani mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na Mali.
-
Rais mpya wa Niger aapishwa baada ya jaribio la mapinduzi
Apr 02, 2021 22:08Mohamed Bazoum ameapishwa kuwa Rais mpya wa Niger, siku chache baada ya kujiri jaribio la mapinduzi lililofeli nchini humo.
-
Milio mikubwa ya risasi yasikika karibu na ofisi ya rais nchini Niger
Mar 31, 2021 03:13Milio mikubwa ya risasi imesikika mapema leo karibu na ofisi ya rais wa Niger katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey, siku mbili kabla ya kuapishwa rais mpya Mohamed Bazoum.
-
Serikali ya Niger: Raia waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha hawapungui 137
Mar 23, 2021 02:52Serikali ya Niger imetangaza kuwa, raia waliouawa katika hujuma za kinyama zilizofanywa na washambuliaji waliobeba silaha katika vijiji kadhaa vya eneo la Tahoua kusini magharibi mwa nchi hiyo hawapungui 137.