-
Boko Haram yaendeleza ukatili, yaua askari wengine 10 Niger
Jul 02, 2018 03:08Askari kumi wa Niger wameuawa katika hujuma mpya ya Boko Haram kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
-
UNHCR: Misaada itolewe kwa ajili ya kuimarisha amani Libya, Mali na Niger
Jun 26, 2018 10:11Mkuu wa Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya kuimarisha amani katika nchi za Mali, Niger na Libya.
-
Marekani inaendelea kuongeza wanajeshi wake barani Afrika
Apr 23, 2018 22:47Jeshi la Marekani linajenga kituo cha ndege za kivita zisizo na rubani nchini Niger kwa lengo la kukabiliana na kile wakuu wa Washington wanadai ni 'makundi ya kigaidi' barani Afrika.
-
Rais wa Niger ataka kustawishwa uchumi na ushirikiano wa pamoja dhidi ya ugaidi
Feb 02, 2018 00:20Rais wa Niger amesisitiza juu ya udharura wa kustawishwa uchumi na wakati huo huo kuweko ushirikiano wa pamoja katika kupambana na ugaidi ambao ni tishio kwa amani na usalama wa dunia.
-
Wanajeshi 9 wa Niger wahukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kuhusika na jaribio la mapinduzi
Jan 27, 2018 13:07Mahakama moja nchini Niger imewahukumu kifungo cha miaka 15 jela askari tisa wa jeshi la nchi hiyo ambao wamepatikana na hatia ya kuhusika na jaribio la mapinduzi ya kijeshi ya kuiangusha serikali ya Rais Mahamadou Issoufou miaka miwili iliyopita.
-
Niger yapinga kutumwa wanajeshi wa Italia nchini humo
Jan 27, 2018 09:22Katika hali ambayo Italia imetangaza habari ya kutumwa vikosi vyake vya kijeshi huko Niger kufuatia ombi la serikali ya Niamey, viongozi wa nchi hiyo ya Kiafrika wametangaza kuwa wanapinga kuweko wanajeshi wa Italia katika ardhi ya nchi hiyo na kwamba hawajawahi kuzungumzia suala hilo na wenzao wa Roma.
-
Mabadiliko makubwa katika safu ya uongozi wa vikosi vya ulinzi vya Niger
Jan 20, 2018 23:38Rais wa Niger amefanya mabadiliko makubwa katika safu ya uongozi wa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa shabaha ya kuimarisha vita dhidi ya ugaidi na kupambana na wanamgambo wenye misimamo ya kufurutu ada.
-
Italia yaidhinisha kutuma wanajeshi Niger, na vikosi zaidi kaskazini mwa Afrika
Jan 18, 2018 04:25Bunge la Italia jana liliidhinisha kuongezwa idadi ya wanajeshi wake huko Libya na kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo hadi 470 huko Niger kwa ajili ya kukomesha harakati za wahajiri na magendo ya binadamu kuelekea Ulaya.
-
Wanajeshi wa Italia walio Iraq kupelekwa Niger
Dec 25, 2017 03:21Waziri Mkuu wa Italia Paolo Gentilon amesema atapendekeza katika bunge la nchi hiyo kuwa baadhi ya wanajeshi wa Italia walio Iraq wapelekwe Niger kupambana na biashara haramu ya usafirishaji binadamu na ugaidi.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger
Dec 23, 2017 09:14Rais wa Ufaransa amewasili Niger kwa lengo la kukutana na wanajeshi wa nchi hiyo na kuchunguza hali ya mambo katika nchi za magharibi mwa Afrika.