-
Niger yatoa mwito kwa jamii ya kimataifa kusaidia mapambano dhidi ya ugaidi
Aug 05, 2017 22:41Rais wa Niger ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa akitaka kuungwa mkono haraka iwezekanavyo mapambano dhidi ya ugaidi katika eneo la Sahel barani Afrika. Rais wa Niger ametoa ombi hilo katika maadhimisho ya mwaka 57 wa uhuru wa nchi hiyo.
-
Alkhamisi 3 Agosti, 2017
Aug 02, 2017 21:56Leo ni Alkhamisi tarehe 10 Dhilqaada mwaka 1438 Hijria mwafaka na tarehe Tatu Agosti 2017.
-
Machafuko yaendelea katika mpaka wa Niger na Mali
Jul 22, 2017 12:05Machafuko na mapigano makali yameendelea kushuhudiwa katika eneo la mpaka wa Niger na Mali licha ya kutangazwa ripoti ya mafanikio makubwa ya Operesheni ya Barkhane katika eneo hilo.
-
Nchi za Kiislamu zatakiwa kushirikiana kimataifa
Jul 10, 2017 09:23Mwenyekiti wa Kundi la Urafiki la Mabunge ya Iran na Niger katika Bunge la Iran amesema kuna haja kwa nchi za Kiislamu kushirikiana katika uga wa kimataifa ili kuwa na taathira katika maamuzi muhimu kwa maslahi ya nchi za Kiislamu.
-
Boko Haram wafanya shambulizi jingine kusini mashariki mwa Niger
Jul 03, 2017 23:15Watu 9 wameuawa katika shambulio jipya lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram, kusini mashariki mwa Niger.
-
Niger yawaokoa wahajiri 92 waliotelekezwa kwenye jangwa la Sahara
Jun 14, 2017 11:03Mamlaka za Niger zimewaokoa wahajiri 92 kutoka Afrika Magharibi waliokuwa wametelekezwa na wafanya magendo ya binadamu kwenye jangwa la Sahara wakijaribu kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani ya Libya.
-
Kiongozi wa upinzani Niger ahukumiwa kifungo jela
Jun 06, 2017 09:18Mahakama moja nchini Niger hii leo imetoa hukumu ya kifungo cha miezi mitatu jela dhidi ya kiongozi wa upinzani nchini humo, aliyekuwa akikabiliwa na mashitaka ya kuchochea mapinduzi dhidi ya serikali.
-
Askari sita wa Niger wauawa na magaidi katika mpaka wa nchi hiyo na Mali
Jun 01, 2017 23:31Viongozi wa Niger wametangaza kuwa askari sita wameuawa katika shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.
-
Wahajiri 44 wafariki dunia kwa kiu kaskazini mwa Niger baada ya gari lao kuharibika
Jun 01, 2017 02:17Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, wahajiri wapatao 44 ambao wengi wao ni kutoka nchi za magharibi mwa Afrika wamefariki dunia kwa kiu kaskazini mwa Niger baada ya lori walilokuwa wakisafiria kuharibika katikati ya jangwa.
-
Umoja wa Mataifa: Raia 1,300,000 nchini Niger hawana chakula
May 18, 2017 02:44Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia milioni moja na laki tatu katika nchi ya Niger iliyoko magharibi mwa Afrika wamakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula.