-
Rais wa Niger: Zichukuliwe hatua za kukabiliana na ukosefu wa usalama Afrika
May 10, 2017 09:51Rais Mahamadou Issoufou wa Niger ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na ukosefu wa usalama na wakati huo huo kuungwa mkono suala la haki za binadamu barani Afrika.
-
Mlipuko wa homa ya manjano kambini yaua watu 25 nchini Niger
Apr 28, 2017 03:19Mlipuko wa homa ya manjano (Hepatitis E) umesababisha vifo vya makumi ya watu nchini Niger.
-
Taasisi za kiraia Niger zatahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi
Apr 24, 2017 22:53Jumuiya ya Wasomaji Bingwa wa Qur'ani na taasisi nyingine kadhaa zisizo za serikali nchini Niger zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wakimbizi walioko katika maeneo ya kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu wenye silaha waangamizwa katikati mwa Nigeria
Apr 23, 2017 03:19Jeshi la polisi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa watu wawili katika jimbo la Niger la katikati mwa nchi hiyo.
-
Polisi watatu Niger wakamatwa baada ya mtu mmoja kuuawa katika maandamano ya wanafunzi
Apr 16, 2017 22:25Serikali ya Niger imetangaza kuwa maafisa watatu wa polisi wametiwa nguvuni baada ya kuripotiwa kuwa walimshambulia mwandamanaji mmoja katika maandamano yaliyogeuka kuwa ya fujo ya wanachuo yaliyosababisha kifo cha mtu mmoja na kupelekea kufungwa chuo kikuu kikubwa zaidi cha nchi hiyo.
-
Boko Haram wapata pigo jingine kubwa nchini Niger
Apr 10, 2017 23:18Afisa mmoja wa masuala ya usalama wa Niger alisema jana kwamba, wanamgambo 57 wa genge la kigaidi la Boko Haram waliuawa Jumapili usiku katika mapigano na wanajeshi wa serikali, kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mahakama ya Niger yawaachia huru watuhumiwa 15 wa jaribio la mapinduzi
Mar 25, 2017 11:57Mahakama ya Niger imewaachia huru watu 15 waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma za kupanga jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Mahamadou Issoufou wa nchi hiyo.
-
Kuundwa kundi shirikishi kwa ajili ya kupambana na wahajiri haramu
Mar 16, 2017 00:46Serikali za Uhispania, Ufaransa na Niger zimeunda muungano wa pamoja kwa ajili ya kupambana ipasavyo na kadhia ya wahajiri haramu na magendo ya binaadamu.
-
Rais Issoufou: Zaidi ya wanachama 100 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Niger
Mar 07, 2017 01:18Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, wamejisalimisha kwa jeshi la Niger, katika eneo la Diffa kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Niger yachelea athari za kijamii na kiuchumi za mashambulizi ya Boko Haram
Mar 05, 2017 12:35Rais wa Niger amesema ana wasiwasi wa athari hasi za mashambulizi ya kundi la kigaidi la Boko Haram kwa hali ya kijamii na kiuchumi ya nchi hiyo.