-
Hali ya hatari yatangazwa mpaka wa Mali na Niger
Mar 04, 2017 12:38Serikali ya Niger imetangaza hali ya hatari katika mpaka wa nchi hiyo na nchi jirani ya Mali.
-
Wanajeshi wa Niger washambuliwa katika mpaka wa Mali
Feb 24, 2017 04:40Wanajeshi kadhaa ya Niger wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Mali.
-
Waziri wa Niger: Wapiganaji wa Boko Haram wanaojisalimisha wanazidi kuongezeka
Jan 06, 2017 23:50Waziri wa Mambo ya Ndani wa Niger ametangaza kuwa, wanachama wengine wa kundi la kigaidi la Boko Haram wamejisalimisha kwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Rouhani: Iran kuimarisha uhusiano wake na Niger
Dec 19, 2016 04:47Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Rais wa Niger Mahamadou Issoufou, kwa mnasaba wa kuadhimishwa Siku ya Taifa ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Umoja wa Ulaya kuipatia Niger mamilioni ya dola endapo itazuia wahajiri kuelekea Ulaya
Dec 17, 2016 13:33Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utaipatia mamilioni ya dola nchi ya Niger endapo itafanya juhudi za kuwazuia wahajiri wanaolekea Ulaya ambao wanapitia katika nchi hiyo.
-
Wakimbizi waliofukuzwa Algeria waingia nchini Niger
Dec 10, 2016 10:26Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika waliofukuzwa nchini Algeria wameingia katika nchi jirani ya Niger.
-
UN: Waniger milioni mbili wanahitaji misaada ya kibinadamu
Nov 26, 2016 00:23Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa watu wapatao milioni mbili watahitaji misaada ya kibinadamu nchini Niger.
-
Watu wenye silaha waua askari watano wa Niger
Nov 08, 2016 23:08Wizara ya Mambo ya Ndani ya Niger imetangaza kuwa watu waliokuwa wamejizatiti kwa silaha nzito wakiwa wamepanda pikipiki na vipando vingine wamevamia kijiji kimoja na kuua askari askari watano karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mali.
-
Niger: Makundi yenye misimamo mikali yapigwe vita
Nov 04, 2016 04:11Serikali ya Niger imesema kuwa, makundi yenye silaha na yenye misimamo mikali huko kaskazini mwa Mali yanahusika na machafuko na mashambulizi ya hivi karibuni nchini humo.
-
38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger
Nov 02, 2016 11:00Watu 18 wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa katika mapigano makali kati ya wakulima na wafugaji nchini Niger.