Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

    Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

    Sep 26, 2023 10:32

    Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.

  • Macron adai waliofanya mapinduzi Niger

    Macron adai waliofanya mapinduzi Niger "wanamshikilia" balozi wa Ufaransa

    Sep 16, 2023 08:10

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, alidai jana Ijumaa kwamba balozi wa nchi yake nchini Niger, Sylvain Itte, "anazuiliwa" na utawala wa kijeshi wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, akiashiria kwamba chakula anachokula ni "mgao wa chakula cha kijeshi."

  • Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Sep 08, 2023 07:19

    Shirika la Kijasusi la Russia nje ya nchi (SVR) limeonya kuwa, serikali ya Marekani inatafakari suala la kuwaua kigaidi viongozi walioongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Niger.

  • Waziri Mkuu wa Niger: Balozi wa Ufaransa hana nafasi katika nchi yetu

    Waziri Mkuu wa Niger: Balozi wa Ufaransa hana nafasi katika nchi yetu

    Sep 05, 2023 07:36

    Waziri Mkuu wa Niger amemtaka balozi wa Ufaransa kuondoka mara moja nchini humo.

  • Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Sep 02, 2023 11:09

    Maelfu ya wananchi wa Niger wamefanya maandamano katika mji mkuu Niamey, kuonyesha uungaji mkono wao kwa serikali ya kijeshi inayotawala hivi sasa, na kutaka kufukuzwa nchini humo wanajeshi na wanadiplomasia wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Sep 02, 2023 02:44

    Polisi nchini Niger wanaendelea kuzingira majengo ya ubalozi wa Ufaransa mjini Niamey, huku Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo likichukua uamuzi wa kupiga marufuku shughuli za mashirika ya kimataifa na yasiyo ya kiserikali.

  • Tarehe ya mwisho iliyotolewa na Niger kwa askari wa Ufaransa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo

    Tarehe ya mwisho iliyotolewa na Niger kwa askari wa Ufaransa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo

    Sep 01, 2023 03:03

    Baraza la Taifa kwa ajili ya Ulinzi wa Wat'ani, (National Council for the Safeguard of the Homeland, CNSP) ambalo liliundwa hivi majuzi na viongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini Niger, limeitaka Ufaransa ihakikishe kuwa ifikapo Septemba 3, iwe imeshaondoa vikosi vya jeshi lake vilivyoko nchini humo.

  • Niger yawataka wanajeshi wa mkoloni Ufaransa waondoke nchini humo haraka

    Niger yawataka wanajeshi wa mkoloni Ufaransa waondoke nchini humo haraka

    Aug 31, 2023 06:53

    Serikali ya Niger imetoa amri kwa wanajeshi wa mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa wafungashe virago na toke nchini humo haraka.

  • Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 30, 2023 13:24

    Msemaji wa ofisi ya rais wa Nigeria amesema nchi hiyo pamoja na Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS zitapunguza baadhi ya vikwazo zilivyoiwekea Niger.

  • Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Aug 25, 2023 03:08

    Kiongozi wa mapinduzi nchini Niger, Jenerali Abdourahamane Tiani, amekutana na ujumbe wa wanazuoni wa Kiislamu wa Nigeria, huku mashinikizo za kikanda na kimataifa yakiongezeka dhidi ya utawala wa kijeshi wa Niamey kwa shabaha ya kurejesha utawala wa kikatiba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS