Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Jenerali Tumba: Ufaransa haitaki kuwaondoa wanajeshi wake Niger

    Jenerali Tumba: Ufaransa haitaki kuwaondoa wanajeshi wake Niger

    Oct 04, 2023 06:40

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Baraza la Kijeshi linaloongoza Niger ameeleza kuwa Ufaransa haina mpangp wa kuwaondoa wanajeshi wake mjini Niamey.

  • Niger yakubali mpango wa Algeria wa kutatua mzozo wa ndani wa nchi hiyo

    Niger yakubali mpango wa Algeria wa kutatua mzozo wa ndani wa nchi hiyo

    Oct 02, 2023 15:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Algeria ilimengaza kuwa, Niger imekubaliana na mpango wa Algiers wa kutatua mgogoro wa ndani wa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika.

  • Raia wa Niger washambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji

    Raia wa Niger washambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji

    Sep 30, 2023 15:46

    Raia wa Niger wamelishambulia lori la Ufaransa lililokuwa limebeba maji kwa ajili ya wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini humo kinyume cha sheria.

  • Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulizi la wanamgambo

    Wanajeshi 12 wa Niger wauawa katika shambulizi la wanamgambo

    Sep 29, 2023 13:29

    Waziri wa Ulinzi wa Niger ametangaza habari ya kuuawa wanajeshi wasiopungua 12 wa nchi hiyo katika shambulizi la kundi la wanamgambo kusini magharibi mwa nchi.

  • Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

    Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger

    Sep 26, 2023 10:32

    Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.

  • Macron adai waliofanya mapinduzi Niger

    Macron adai waliofanya mapinduzi Niger "wanamshikilia" balozi wa Ufaransa

    Sep 16, 2023 08:10

    Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, alidai jana Ijumaa kwamba balozi wa nchi yake nchini Niger, Sylvain Itte, "anazuiliwa" na utawala wa kijeshi wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika, akiashiria kwamba chakula anachokula ni "mgao wa chakula cha kijeshi."

  • Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Moscow: Marekani inatafakari kuwaua viongozi wa mapinduzi Niger

    Sep 08, 2023 07:19

    Shirika la Kijasusi la Russia nje ya nchi (SVR) limeonya kuwa, serikali ya Marekani inatafakari suala la kuwaua kigaidi viongozi walioongoza mapinduzi ya kijeshi nchini Niger.

  • Waziri Mkuu wa Niger: Balozi wa Ufaransa hana nafasi katika nchi yetu

    Waziri Mkuu wa Niger: Balozi wa Ufaransa hana nafasi katika nchi yetu

    Sep 05, 2023 07:36

    Waziri Mkuu wa Niger amemtaka balozi wa Ufaransa kuondoka mara moja nchini humo.

  • Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Maandamano ya kutaka kufukuzwa askari wa Ufaransa yashtadi Niger

    Sep 02, 2023 11:09

    Maelfu ya wananchi wa Niger wamefanya maandamano katika mji mkuu Niamey, kuonyesha uungaji mkono wao kwa serikali ya kijeshi inayotawala hivi sasa, na kutaka kufukuzwa nchini humo wanajeshi na wanadiplomasia wa Ufaransa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Sep 02, 2023 02:44

    Polisi nchini Niger wanaendelea kuzingira majengo ya ubalozi wa Ufaransa mjini Niamey, huku Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo likichukua uamuzi wa kupiga marufuku shughuli za mashirika ya kimataifa na yasiyo ya kiserikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS