Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Aug 23, 2023 02:39

    Umoja wa Afrika (AU) umesimamisha uanachama wa Niger katika taasisi hiyo kubwa zaidi ya kibara; huo ukiwa ni muendelezo wa vikwazo na mashinikizo dhidi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita.

  • Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Aug 20, 2023 11:13

    Huku mzozo wa kisiasa nchini Niger ukiendelea, ECOWAS (Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi) imeamua kufanya shambulio la kijeshi dhidi ya nchi hiyo, lakini haijatangaza tarehe ya kuanza shambulio hilo.

  • Kiongozi wa mapinduzi Niger: Tuko tayari kwa mazungumzo, na vita ikilazimu

    Kiongozi wa mapinduzi Niger: Tuko tayari kwa mazungumzo, na vita ikilazimu

    Aug 20, 2023 06:53

    Kiongozi wa mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Mohammed Bazoum wa Niger amesema yupo tayari kufanya mazungumzo ili kuepusha mgogoro na mapigano baina ya nchi hiyo na Jumuiya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) lakini anasisitiza kuwa, taifa hilo limejiandaa kujihami.

  • Taharuki yatanda nchini Niger baada ya ECOWAS kuamua tarehe ya kuishambulia nchi hiyo

    Taharuki yatanda nchini Niger baada ya ECOWAS kuamua tarehe ya kuishambulia nchi hiyo

    Aug 20, 2023 02:28

    Mji mkuu wa Niger, Niamey, unashuhudia vuguvugu na taharuki kubwa ya jeshi na wananchi wanaowaunga mkono viongozi wa mapinduzi wakipinga uwezekano wa uingiliaji kijeshi wa nchi wanachama wa Jumuiya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) nchini humo.

  • Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Aug 19, 2023 10:30

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametahadharisha juu ya njama na majungu yanayopikwa na Marekani na Ufaransa ya kupanda mbegu za chuki, uhasama na mifarakano baina ya Nigeria na jirani yake Niger.

  • Wanajeshi 17 wa Niger wauawa katika shambulizi la kigaidi

    Wanajeshi 17 wa Niger wauawa katika shambulizi la kigaidi

    Aug 17, 2023 03:14

    Kwa akali wanajeshi 17 wa Niger wameuawa katika shambulizi la kuvizia linaloripotiwa kufanywa na magaidi.

  • Hatua ya Burkina Faso ya kufuta mikataba ya kikoloni ya Ufaransa

    Hatua ya Burkina Faso ya kufuta mikataba ya kikoloni ya Ufaransa

    Aug 17, 2023 02:29

    Rais Ibrahim Traoré wa Burkina Faso ametangaza kuwa nchi yake imefuta mikataba kadhaa iliyokuwa imesaini na serikali ya Ufaransa, ambayo hadi sasa imekuwa na sura ya ukoloni na ya kujali maslahi ya upande mmoja.

  • Algeria: Uingiliaji wa kijeshi nchini Niger utatishia utulilvu wa eneo zima

    Algeria: Uingiliaji wa kijeshi nchini Niger utatishia utulilvu wa eneo zima

    Aug 16, 2023 06:28

    Mkuu wa Jeshi la Algeria ameonya kuhusu jaribio la kuivamia kijeshi Niger na kusema kuwa uvamizi wowote wa kijeshi wa madola ya kigeni nchini Niger utatishia utulivu na usalama wa eneo zima la Sahel ya Afrika.

  • UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    UN, ECOWAS zapinga kushtakiwa rais aliyepinduliwa wa Niger

    Aug 15, 2023 07:32

    Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimeeleza kutiwa wasiwasi na tangazo la jeshi la Niger kuwa litamfungulia mashtaka rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum kwa tuhuma za kufanya uhaini mkubwa.

  • Kusitisha serikali ya Mali utoaji visa kwa raia wa Ufaransa

    Kusitisha serikali ya Mali utoaji visa kwa raia wa Ufaransa

    Aug 15, 2023 02:26

    Mvutano kati ya nchi za ukanda wa Sahel ya Afrika na Ufaransa unazidi kuongezeka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS