Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Polisi wa Niger wanaendelea kuzingira ubalozi wa Ufaransa

    Sep 01, 2023 23:14

    Polisi nchini Niger wanaendelea kuzingira majengo ya ubalozi wa Ufaransa mjini Niamey, huku Baraza la Kijeshi linalotawala nchi hiyo likichukua uamuzi wa kupiga marufuku shughuli za mashirika ya kimataifa na yasiyo ya kiserikali.

  • Tarehe ya mwisho iliyotolewa na Niger kwa askari wa Ufaransa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo

    Tarehe ya mwisho iliyotolewa na Niger kwa askari wa Ufaransa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo

    Aug 31, 2023 23:33

    Baraza la Taifa kwa ajili ya Ulinzi wa Wat'ani, (National Council for the Safeguard of the Homeland, CNSP) ambalo liliundwa hivi majuzi na viongozi wa mapinduzi ya kijeshi nchini Niger, limeitaka Ufaransa ihakikishe kuwa ifikapo Septemba 3, iwe imeshaondoa vikosi vya jeshi lake vilivyoko nchini humo.

  • Niger yawataka wanajeshi wa mkoloni Ufaransa waondoke nchini humo haraka

    Niger yawataka wanajeshi wa mkoloni Ufaransa waondoke nchini humo haraka

    Aug 31, 2023 03:23

    Serikali ya Niger imetoa amri kwa wanajeshi wa mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa wafungashe virago na toke nchini humo haraka.

  • Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Nigeria yaahidi kupunguza vikwazo vya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 30, 2023 09:54

    Msemaji wa ofisi ya rais wa Nigeria amesema nchi hiyo pamoja na Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS zitapunguza baadhi ya vikwazo zilivyoiwekea Niger.

  • Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Kiongozi wa mapinduzi Niger: Niko tayari kumwachia huru Bazoum

    Aug 24, 2023 23:38

    Kiongozi wa mapinduzi nchini Niger, Jenerali Abdourahamane Tiani, amekutana na ujumbe wa wanazuoni wa Kiislamu wa Nigeria, huku mashinikizo za kikanda na kimataifa yakiongezeka dhidi ya utawala wa kijeshi wa Niamey kwa shabaha ya kurejesha utawala wa kikatiba.

  • Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Umoja wa Afrika (AU) waisimamishia uanachama Niger

    Aug 22, 2023 23:09

    Umoja wa Afrika (AU) umesimamisha uanachama wa Niger katika taasisi hiyo kubwa zaidi ya kibara; huo ukiwa ni muendelezo wa vikwazo na mashinikizo dhidi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwezi uliopita.

  • Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Aug 20, 2023 07:43

    Huku mzozo wa kisiasa nchini Niger ukiendelea, ECOWAS (Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi) imeamua kufanya shambulio la kijeshi dhidi ya nchi hiyo, lakini haijatangaza tarehe ya kuanza shambulio hilo.

  • Kiongozi wa mapinduzi Niger: Tuko tayari kwa mazungumzo, na vita ikilazimu

    Kiongozi wa mapinduzi Niger: Tuko tayari kwa mazungumzo, na vita ikilazimu

    Aug 20, 2023 03:23

    Kiongozi wa mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Mohammed Bazoum wa Niger amesema yupo tayari kufanya mazungumzo ili kuepusha mgogoro na mapigano baina ya nchi hiyo na Jumuiya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) lakini anasisitiza kuwa, taifa hilo limejiandaa kujihami.

  • Taharuki yatanda nchini Niger baada ya ECOWAS kuamua tarehe ya kuishambulia nchi hiyo

    Taharuki yatanda nchini Niger baada ya ECOWAS kuamua tarehe ya kuishambulia nchi hiyo

    Aug 19, 2023 22:58

    Mji mkuu wa Niger, Niamey, unashuhudia vuguvugu na taharuki kubwa ya jeshi na wananchi wanaowaunga mkono viongozi wa mapinduzi wakipinga uwezekano wa uingiliaji kijeshi wa nchi wanachama wa Jumuiya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) nchini humo.

  • Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Zakzaky: US, Ufaransa zinataka kuibua uhasama baina ya Nigeria na Niger

    Aug 19, 2023 07:00

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) ametahadharisha juu ya njama na majungu yanayopikwa na Marekani na Ufaransa ya kupanda mbegu za chuki, uhasama na mifarakano baina ya Nigeria na jirani yake Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS