-
Rais wa Nigeria alituma jeshi kwenda kuokoa wanafunzi zaidi ya 250 waliotekwa nyara
Mar 09, 2024 07:42Rais Bola Ahmed Tinubu wa Nigeria ametuma wanajeshi kwenda kuwaokoa zaidi ya wanafunzi 250 waliotekwa nyara na watu wenye silaha kutoka shule moja kaskazini magharibi mwa nchi hiyo katika mojawapo ya matukio makubwa zaidi ya utekaji nyara kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitatu.
-
Nigeria yasema itaomba kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS
Mar 08, 2024 10:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria Yusuf Tuggar amesema nchi yake inajipanga kuomba uanachama katika jumuiya ya kiuchumi ya BRICS baada ya mipango muhimu ya uratibu wa ndani ya nchi hiyo kukamilika.
-
Wabeba silaha wavamia shule na kuteka nyara watoto 225 Nigeria
Mar 08, 2024 07:23Watu wenye silaha wameshambulia shule na kuwateka nyara watoto zaidi ya 200 huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Waziri wa Nigeria: Mauaji ya Wapalestina Gaza hayahalalishiki
Mar 06, 2024 11:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza haviwezi kuhalalalishika kwa njia yoyote ile.
-
Nigeria: Mwezi huu tutatoa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga yaliyouwa raia
Feb 21, 2024 11:27Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jeshi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, amesema kuwa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga ya ndege zisizo na rubani (droni) yaliyouwa raia karibu 85 katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa nchi Disemba mwaka jana zitatolewa mwishoni mwa mwezi huu.
-
Watu 4 wauawa, 40 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria
Feb 14, 2024 07:34Kwa wakali watu wanne wameuawa huku makumi ya wengine wakitekwa nyara katika shambulio lililofanywa na kundi moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara la kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani
Feb 08, 2024 03:03Mwanasiasa na mwandishi mashuhuri wa Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (RA) ni kigezo cha wapigania uhuru kote duniani ili kuzifanya nchi zao kuwa huru.
-
Alfajiri Kumi; Uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya Imam Khomeini (M.A)
Feb 05, 2024 03:15Mtafiti na Mhadhiri wa Chuo Kikuu katika mji wa Zaria nchini Nigeria amesema kuwa, Ayatullah Khamenei anaongoza Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika njia sawa na ya Imam Khomeini (M.A).
-
Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha
Jan 08, 2024 03:48Kumbukumbu za kutimia mwaka wa nne tangu kuuliwa shahidi Luteni jenerali Shahidi Qassim Suleiman zimefanyika katika miji mikuu ya Nigeria na Ghana yaani huko Abuja na Accra kwa kuhudhuriwa na Waislamau wa matabaka mbalimbali na wafuasi wa kamanda huyo.
-
Waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha Nigeria waongezeka na kufikia 160
Dec 26, 2023 06:09Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio yaliyofanywa na makundi ya wabeba silaha kwenye vijiji vya jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 160.