Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Rais wa Nigeria alituma jeshi kwenda kuokoa wanafunzi zaidi ya 250 waliotekwa nyara

    Rais wa Nigeria alituma jeshi kwenda kuokoa wanafunzi zaidi ya 250 waliotekwa nyara

    Mar 09, 2024 07:42

    Rais Bola Ahmed Tinubu wa Nigeria ametuma wanajeshi kwenda kuwaokoa zaidi ya wanafunzi 250 waliotekwa nyara na watu wenye silaha kutoka shule moja kaskazini magharibi mwa nchi hiyo katika mojawapo ya matukio makubwa zaidi ya utekaji nyara kushuhudiwa katika kipindi cha miaka mitatu.

  • Nigeria yasema itaomba kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS

    Nigeria yasema itaomba kujiunga na jumuiya ya kiuchumi ya BRICS

    Mar 08, 2024 10:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria Yusuf Tuggar amesema nchi yake inajipanga kuomba uanachama katika jumuiya ya kiuchumi ya BRICS baada ya mipango muhimu ya uratibu wa ndani ya nchi hiyo kukamilika.

  • Wabeba silaha wavamia shule na kuteka nyara watoto 225 Nigeria

    Wabeba silaha wavamia shule na kuteka nyara watoto 225 Nigeria

    Mar 08, 2024 07:23

    Watu wenye silaha wameshambulia shule na kuwateka nyara watoto zaidi ya 200 huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Waziri wa Nigeria: Mauaji ya Wapalestina Gaza hayahalalishiki

    Waziri wa Nigeria: Mauaji ya Wapalestina Gaza hayahalalishiki

    Mar 06, 2024 11:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza haviwezi kuhalalalishika kwa njia yoyote ile.

  • Nigeria: Mwezi huu tutatoa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga yaliyouwa raia

    Nigeria: Mwezi huu tutatoa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga yaliyouwa raia

    Feb 21, 2024 11:27

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jeshi la Nigeria, Jenerali Christopher Musa, amesema kuwa ripoti kuhusu mashambulizi ya anga ya ndege zisizo na rubani (droni) yaliyouwa raia karibu 85 katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa nchi Disemba mwaka jana zitatolewa mwishoni mwa mwezi huu.

  • Watu 4 wauawa, 40 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria

    Watu 4 wauawa, 40 watekwa nyara kaskazini mwa Nigeria

    Feb 14, 2024 07:34

    Kwa wakali watu wanne wameuawa huku makumi ya wengine wakitekwa nyara katika shambulio lililofanywa na kundi moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara la kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Msomi Mnigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni dhihirisho la kupigania uhuru duniani

    Feb 08, 2024 03:03

    Mwanasiasa na mwandishi mashuhuri wa Nigeria amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini (RA) ni kigezo cha wapigania uhuru kote duniani ili kuzifanya nchi zao kuwa huru.

  • Alfajiri Kumi; Uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya Imam Khomeini (M.A)

    Alfajiri Kumi; Uongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika njia ya Imam Khomeini (M.A)

    Feb 05, 2024 03:15

    Mtafiti na Mhadhiri wa Chuo Kikuu katika mji wa Zaria nchini Nigeria amesema kuwa, Ayatullah Khamenei anaongoza Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika njia sawa na ya Imam Khomeini (M.A).

  • Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha

    Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha

    Jan 08, 2024 03:48

    Kumbukumbu za kutimia mwaka wa nne tangu kuuliwa shahidi Luteni jenerali Shahidi Qassim Suleiman zimefanyika katika miji mikuu ya Nigeria na Ghana yaani huko Abuja na Accra kwa kuhudhuriwa na Waislamau wa matabaka mbalimbali na wafuasi wa kamanda huyo.

  • Waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha Nigeria waongezeka na kufikia 160

    Waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha Nigeria waongezeka na kufikia 160

    Dec 26, 2023 06:09

    Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio yaliyofanywa na makundi ya wabeba silaha kwenye vijiji vya jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 160.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS