Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha Nigeria waongezeka na kufikia 160

    Waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha Nigeria waongezeka na kufikia 160

    Dec 26, 2023 06:09

    Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio yaliyofanywa na makundi ya wabeba silaha kwenye vijiji vya jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 160.

  • Watu 16 wauawa katika mapigano jimboni Plateau, kaskazini mwa Nigeria

    Watu 16 wauawa katika mapigano jimboni Plateau, kaskazini mwa Nigeria

    Dec 25, 2023 10:43

    Kwa akali watu 16 wameuawa katika shambulio la wabeba silaha katika jimbo la Plateau, kaskazini ya kati ya Nigeria.

  • Rais Tinubu wa Nigeria asikitishwa na kuuliwa kwa bahati mbaya raia 85; ataka uchunguzi ufanyike

    Rais Tinubu wa Nigeria asikitishwa na kuuliwa kwa bahati mbaya raia 85; ataka uchunguzi ufanyike

    Dec 05, 2023 11:58

    Shambulio la ndege zisizo na rubani la jeshi la Nigeria liliwaua kwa bahati mbaya raia 85 juzi Jumapili katika kijiji kimoja kaskazini-magharibi mwa Jimbo la Kaduna huko Nigeria.

  • Wanigeria waandamana wakitaka kukatwa uhusiano na Israel

    Wanigeria waandamana wakitaka kukatwa uhusiano na Israel

    Dec 03, 2023 10:42

    Kwa mara nyingine tena, maelfu ya Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanajeshi wa Nigeria waua zaidi ya magaidi 180 wenye silaha ndani ya wiki moja

    Wanajeshi wa Nigeria waua zaidi ya magaidi 180 wenye silaha ndani ya wiki moja

    Dec 02, 2023 10:37

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, limeua zaidi ya magaidi 180 wanaoaminika kuendesha mashambulizi ya kigaidi katika kona mbalimbali za nchi hiyo.

  • Rais wa zamani wa Nigeria: Demokrasia ya Magharibi imefeli barani Afrika

    Rais wa zamani wa Nigeria: Demokrasia ya Magharibi imefeli barani Afrika

    Nov 22, 2023 03:29

    Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo amesema, demokrasia ya Magharibi imeshindwa kufanya kazi kama mfumo wa serikali barani Afrika kwa sababu iliwekwa na mamlaka za kikoloni.

  • Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Nov 12, 2023 13:10

    Maelfu ya Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, Nigeria wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.

  • Wanafunzi 13 wauawa wakisherehekea Maulidi Nigeria

    Wanafunzi 13 wauawa wakisherehekea Maulidi Nigeria

    Nov 07, 2023 13:22

    Kwa akali wanafunzi 13 wa madrasa ya Kiislamu wameuawa katika shambulizi la wabeba silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mahakama ya Juu Nigeria yatupa rufaa za kupinga ushindi wa Rais Tinubu

    Mahakama ya Juu Nigeria yatupa rufaa za kupinga ushindi wa Rais Tinubu

    Oct 27, 2023 02:31

    Mahakama ya Juu ya Nigeria imetupilia mbali rufaa zilizowasilishwa kwake na vyama vya upinzani kupinga ushindi wa Rais Bola Tinubu katika uchaguzi tata wa rais wa mwezi Februari mwaka huu.

  • Rais Ebrahim Raisi: Jinai za Wazayuni ni sura halisi ya ubaguzi na ukoloni wa Magharibi

    Rais Ebrahim Raisi: Jinai za Wazayuni ni sura halisi ya ubaguzi na ukoloni wa Magharibi

    Oct 25, 2023 15:25

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaja jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa jinai hizo kuwa ni sura halisi ya ubaguzi wa rangi na ukoloni wa nchi za Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS