Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Waislamu wa Nigeria wakosoa uchochezi wa jarida la Kifaransa

    Waislamu wa Nigeria wakosoa uchochezi wa jarida la Kifaransa

    Jan 07, 2023 06:55

    Waislamu nchini Nigeria wamelaani kitendo cha dharau, kejeli na udhalilishaji cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha vibonzo vya kumvunjia heshima Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Ajali mbili za barabarani zaua watu 21 Nigeria

    Ajali mbili za barabarani zaua watu 21 Nigeria

    Dec 28, 2022 08:02

    Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, watu 21 wamefariki dunia kutokana na ajali mbili za barabarani zilizotokea nchini humo siku ya Jumatatu na Jumanne.

  • Magaidi wa Boko Haram waua raia 17 kaskazini mwa Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua raia 17 kaskazini mwa Nigeria

    Dec 27, 2022 04:07

    Vyombo vya habari vya Nigeria vimetangaza kuwa, watu 17 wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.

  • Gharama za maisha zapanda pakubwa Nigeria huku watu maskini wakiongezeka nchini

    Gharama za maisha zapanda pakubwa Nigeria huku watu maskini wakiongezeka nchini

    Dec 25, 2022 04:04

    Kitengo cha Taifa cha Takwimu nchini Nigeria kimetangaza kuwa gharama za maisha zimeongezeka huku jamii ya watu maskini ikiongezeka pia nchini humo.

  • Kipindupindu chaua watu 51 kusini mwa Nigeria

    Kipindupindu chaua watu 51 kusini mwa Nigeria

    Dec 20, 2022 03:59

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 51.

  • Zakzaky: Mauaji ya Zaria ni ishara ya Waislamu wa Nigeria kuwa katika njia sahihi

    Zakzaky: Mauaji ya Zaria ni ishara ya Waislamu wa Nigeria kuwa katika njia sahihi

    Dec 14, 2022 04:22

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, mauaji ya umati ya Zariya yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya nchi hhiyo ni ishara ya wazi kwamba, Waislamu wa taifa hilo wamo katika njia sahihi.

  • Jeshi la Nigeria latuhumiwa kuua watoto katika vita dhidi ya ugaidi

    Jeshi la Nigeria latuhumiwa kuua watoto katika vita dhidi ya ugaidi

    Dec 13, 2022 03:53

    Jeshi la Nigeria linatuhumiwa kufanya mauaji makubwa dhidi ya watoto katika operesheni zake za kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan

    Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan

    Dec 11, 2022 09:10

    Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kulalamikia mbinyo na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Azerbaijan.

  • Waislamu wa Nigeria waandamana katika hauli ya mashahidi wa Zaria

    Waislamu wa Nigeria waandamana katika hauli ya mashahidi wa Zaria

    Dec 10, 2022 09:24

    Wananchi wa Nigeria wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika katika hauli na kumbukumbu ya mashahidi waliouawa katika mauaji yaliyofanywa na vikosi vya usalama katika mji wa Zaria miaka saba iliyopita.

  • Raia 3 wa Nigeria wasalia chini ya meli kwa siku 11 na kufika katika visiwa vya Canary

    Raia 3 wa Nigeria wasalia chini ya meli kwa siku 11 na kufika katika visiwa vya Canary

    Nov 29, 2022 23:35

    Kikosi cha Uokoaji wa Baharini cha Uhispania kimewaokoa watu watatu waliokuwa wamejificha chini ya meli moja ya mafuta iliyopakia kutoka Nigeria ikielekea katika visiwa vya Canary.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS