-
Waislamu wa Nigeria wakosoa uchochezi wa jarida la Kifaransa
Jan 07, 2023 06:55Waislamu nchini Nigeria wamelaani kitendo cha dharau, kejeli na udhalilishaji cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha vibonzo vya kumvunjia heshima Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Ajali mbili za barabarani zaua watu 21 Nigeria
Dec 28, 2022 08:02Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, watu 21 wamefariki dunia kutokana na ajali mbili za barabarani zilizotokea nchini humo siku ya Jumatatu na Jumanne.
-
Magaidi wa Boko Haram waua raia 17 kaskazini mwa Nigeria
Dec 27, 2022 04:07Vyombo vya habari vya Nigeria vimetangaza kuwa, watu 17 wameuawa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kufuatia shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.
-
Gharama za maisha zapanda pakubwa Nigeria huku watu maskini wakiongezeka nchini
Dec 25, 2022 04:04Kitengo cha Taifa cha Takwimu nchini Nigeria kimetangaza kuwa gharama za maisha zimeongezeka huku jamii ya watu maskini ikiongezeka pia nchini humo.
-
Kipindupindu chaua watu 51 kusini mwa Nigeria
Dec 20, 2022 03:59Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 51.
-
Zakzaky: Mauaji ya Zaria ni ishara ya Waislamu wa Nigeria kuwa katika njia sahihi
Dec 14, 2022 04:22Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, mauaji ya umati ya Zariya yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya nchi hhiyo ni ishara ya wazi kwamba, Waislamu wa taifa hilo wamo katika njia sahihi.
-
Jeshi la Nigeria latuhumiwa kuua watoto katika vita dhidi ya ugaidi
Dec 13, 2022 03:53Jeshi la Nigeria linatuhumiwa kufanya mauaji makubwa dhidi ya watoto katika operesheni zake za kupambana na magenge ya kigaidi.
-
Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan
Dec 11, 2022 09:10Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kulalamikia mbinyo na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Azerbaijan.
-
Waislamu wa Nigeria waandamana katika hauli ya mashahidi wa Zaria
Dec 10, 2022 09:24Wananchi wa Nigeria wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika katika hauli na kumbukumbu ya mashahidi waliouawa katika mauaji yaliyofanywa na vikosi vya usalama katika mji wa Zaria miaka saba iliyopita.
-
Raia 3 wa Nigeria wasalia chini ya meli kwa siku 11 na kufika katika visiwa vya Canary
Nov 29, 2022 23:35Kikosi cha Uokoaji wa Baharini cha Uhispania kimewaokoa watu watatu waliokuwa wamejificha chini ya meli moja ya mafuta iliyopakia kutoka Nigeria ikielekea katika visiwa vya Canary.