Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Nigeria: Kifo cha kiongozi wa Boko Haram kimethibitishwa bila shaka yoyote

    Nigeria: Kifo cha kiongozi wa Boko Haram kimethibitishwa bila shaka yoyote

    Jun 17, 2021 08:02

    Kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la wanamgambo wa Boko Haram wenye makao yao nchini Nigeria kimethibitishwa pasina shaka yoyote. Taarifa hiyo imetolewa kupitia tangazo kwa njia ya video lililotolewa na kiongozi mpya wa Boko Haram, Bakura Modu.

  • Kero la ugaidi; 50 wauawa Burkina Faso na Nigeria

    Kero la ugaidi; 50 wauawa Burkina Faso na Nigeria

    Jun 15, 2021 22:05

    Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa magaidi 25 wameuliwa katika operesheni iliyofanywa na askari wa jeshi hilo.

  • Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Polisi ya Nigeria yafyatua gesi ya kutoa machozi katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia

    Jun 12, 2021 22:20

    Polisi wa Nigeria wamefyatua gesi ya kutoa machozi kutawanya waandamanaji wanaopinga serikali huko Lagos na katika mji mkuu, Abuja, na ripoti zinasema kuwa baadhi ya wanaadamanaji hao wakamatwa na wengine kujeruhiwa.

  • Wanakijiji 90 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Wanakijiji 90 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Jun 12, 2021 08:13

    Watu wasiopungua 90 wameuawa baada ya genge la watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kijiji kimoja huko Kaskazini Magharibi mwa Nigeria.

  • Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria

    Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria

    Jun 07, 2021 22:22

    Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu na taasisi za elimu ya juu za Nigeria wameandaa Wiki ya Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika jimbo la Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Jumuiya za kimataifa zalaani hatua ya Nigeria ya kuifungia Twitter

    Jumuiya za kimataifa zalaani hatua ya Nigeria ya kuifungia Twitter

    Jun 07, 2021 03:32

    Jumuiya za kimataifa na balozi za nchi za kigeni nchini Nigeria zimelaani hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuufungia mtandao wa kijamii wa Twitter kwa muda usiojuliikana.

  • Serikali ya Nigeria yaufungia mtandao wa Twitter kwa muda usiojulikana

    Serikali ya Nigeria yaufungia mtandao wa Twitter kwa muda usiojulikana

    Jun 05, 2021 07:12

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa, hatua ya mtandao wa kijamii wa Twitter ya kuufuta ujumbe mmoja wa Rais Muhammadu Buhari wa nchi hiyo haikubaliki kabisa hivyo Abuja ameamua kuufungia mtandao huo kwa muda usiojulikana. Twitter kwa upande wake imesema inafuatilia kwa kina suala hilo.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50 wa Boko Haram

    Jun 03, 2021 22:15

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza magaidi wasiopungua 50 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara Nigeria zaitaka serikali kuwakomboa

    Jun 02, 2021 07:02

    Familia za wanafunzi waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu nchini Nigeria na vilevile jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimeitaka serikali ya Nigeria kuchukua hatua madhubuti za kukomboa karibu wanafunzi 200 wa shule moja ya Kiislamu waliotekwa nyara na magenge ya wahalifu katikati mwa Nigeria.

  • Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Kuendelea harakati za magaidi nchini Nigeria; wanafunzi 200 watekwa nyara

    Jun 01, 2021 21:58

    Makundi ya kigaidi katika eneo la Afrika Magharibi hasa nchini Nigeria yamekithirisha vitendo vya uhalifu, na katika tukio la hivi karibuni wanafunzi karibu 200 wa shule moja ya Kiislamu wametekwa nyara kati mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS