Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Wanamgambo 10 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Wanamgambo 10 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Jun 01, 2021 03:47

    Wanamgambo 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa kwenye operesheni iliyoendeshwa na jeshi la Nigeria.

  • Makumi watoweka baada ya boti kuzama mtoni nchini Nigeria

    Makumi watoweka baada ya boti kuzama mtoni nchini Nigeria

    May 27, 2021 02:55

    Makumi ya watu hawajulikana waliko baada ya boti iliyokuwa imejaza abiria kupindukia kuzama katika mto mmoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Kamanda wa Majeshi ya Nigeria Ibrahim Attahiru afariki dunia katika ajali ya ndege

    Kamanda wa Majeshi ya Nigeria Ibrahim Attahiru afariki dunia katika ajali ya ndege

    May 22, 2021 12:01

    Mkuu wa Majeshi ya Nigeria Luteni Jenerali Ibrahim Attahiru, amepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokkea katika jimbo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo la Kaduna.

  • Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria

    May 22, 2021 02:05

    Serikali na jeshi la Nigeria limethibitisha habari zinasosema kuwa, Abubakar Shekau, mkuu wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram amejipiga risasi begani katika jaribio la kutaka kujiua. Hii ni katika hali ambayo vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa, Shekau amejiua.

  • Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds

    May 08, 2021 07:51

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Bunge la Nigeria lataka kushughulikiwa tatizo la ukosefu wa usalama unaoikabili nchi

    Bunge la Nigeria lataka kushughulikiwa tatizo la ukosefu wa usalama unaoikabili nchi

    Apr 29, 2021 03:35

    Bunge la Nigeria limepasisha maazimio kadhaa yanayomtaka Rais wa nchi, vikosi vya ulinzi na jeshi la polisi nchini humo kushughulikia tatizo la ukosefu wa usalama katika baadhi ya majimbo ya nchi hiyo ambalo limekuwa likiyatesa maeneo hayo kwa miaka kadhaa sasa.

  • Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha

    Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha

    Apr 27, 2021 02:46

    Kikosi cha usalama nchini Nigeria ckimewatia nguvuni wanachama 40 wa genge la watu waliokuwa na silaha wakati wa operesheni iliyofanyika katika jimbo la kusini la Edo.

  • Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 30 kaskazini magharibi mwa nchi

    Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 30 kaskazini magharibi mwa nchi

    Apr 21, 2021 01:50

    Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza kuwa limeua wabeba silaha 30, baada ya genge la majambazi kuvamia vijiji vinne huko kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia

    Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia

    Apr 19, 2021 03:17

    Kikosi cha askari polisi 144 wa Nigeria kimewasili nchini Somalia, kwenda kupiga jeki jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watekaji nyara watishia kuua makumi ya wanafunzi wa Nigeria

    Watekaji nyara watishia kuua makumi ya wanafunzi wa Nigeria

    Apr 18, 2021 22:23

    Genge la wabeba silaha lililoteka wanafunzi karibu 30 wa taasisi moja ya elimu ya juu katika jimbo la Kaduna huko kaskazini magharibi mwa Nigeria mwezi uliopita limetishia kuwaua vijana hao wa kike na kiume, baada ya serikali kukataa kuwapa kikomboleo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS