-
Wanamgambo 10 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria
Jun 01, 2021 03:47Wanamgambo 10 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa kwenye operesheni iliyoendeshwa na jeshi la Nigeria.
-
Makumi watoweka baada ya boti kuzama mtoni nchini Nigeria
May 27, 2021 02:55Makumi ya watu hawajulikana waliko baada ya boti iliyokuwa imejaza abiria kupindukia kuzama katika mto mmoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Kamanda wa Majeshi ya Nigeria Ibrahim Attahiru afariki dunia katika ajali ya ndege
May 22, 2021 12:01Mkuu wa Majeshi ya Nigeria Luteni Jenerali Ibrahim Attahiru, amepoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokkea katika jimbo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo la Kaduna.
-
Mkuu wa genge la Boko Haram ajipiga risasi kutaka kujiua Nigeria
May 22, 2021 02:05Serikali na jeshi la Nigeria limethibitisha habari zinasosema kuwa, Abubakar Shekau, mkuu wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram amejipiga risasi begani katika jaribio la kutaka kujiua. Hii ni katika hali ambayo vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa, Shekau amejiua.
-
Wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria washiriki matembezi ya Siku ya Quds
May 08, 2021 07:51Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria jana Ijumaa walijitokeza kwa wingi katika matembezi ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika miji mikubwa ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Bunge la Nigeria lataka kushughulikiwa tatizo la ukosefu wa usalama unaoikabili nchi
Apr 29, 2021 03:35Bunge la Nigeria limepasisha maazimio kadhaa yanayomtaka Rais wa nchi, vikosi vya ulinzi na jeshi la polisi nchini humo kushughulikia tatizo la ukosefu wa usalama katika baadhi ya majimbo ya nchi hiyo ambalo limekuwa likiyatesa maeneo hayo kwa miaka kadhaa sasa.
-
Askari usalama Nigeria wawakamata wanachama 40 wa genge lenye silaha
Apr 27, 2021 02:46Kikosi cha usalama nchini Nigeria ckimewatia nguvuni wanachama 40 wa genge la watu waliokuwa na silaha wakati wa operesheni iliyofanyika katika jimbo la kusini la Edo.
-
Polisi ya Nigeria yaua 'majambazi' 30 kaskazini magharibi mwa nchi
Apr 21, 2021 01:50Jeshi la Polisi la Nigeria limetangaza kuwa limeua wabeba silaha 30, baada ya genge la majambazi kuvamia vijiji vinne huko kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Nigeria yatuma makumi ya askari polisi wake nchini Somalia
Apr 19, 2021 03:17Kikosi cha askari polisi 144 wa Nigeria kimewasili nchini Somalia, kwenda kupiga jeki jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watekaji nyara watishia kuua makumi ya wanafunzi wa Nigeria
Apr 18, 2021 22:23Genge la wabeba silaha lililoteka wanafunzi karibu 30 wa taasisi moja ya elimu ya juu katika jimbo la Kaduna huko kaskazini magharibi mwa Nigeria mwezi uliopita limetishia kuwaua vijana hao wa kike na kiume, baada ya serikali kukataa kuwapa kikomboleo.