-
Jeshi la Nigeria lasafisha maeneo ya kaskazini na kuangamiza waasi
Oct 08, 2019 03:07Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeangamiza waasi wasiopungua 10 katika operesheni iliyofanyika kwenye misitu ya karibu na maeneo ya Birnin Gwari na Janko Hill huko Kaduna yanayosumbuliwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya magenge yanayobeba silaha.
-
Magaidi wa Boko Haram waua watu 27 Nigeria
Oct 06, 2019 08:30Watu 27 wamepoteza maisha kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia shambulizi la kigaidi ambalo limetekelezwa na kundi la Boko Haram linalofungamna na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
-
Walioteka nyara wanafunzi wa kike Nigeria wataka kikomboleo
Oct 05, 2019 23:20Watu wenye silaha waliowateka nyara wanafunzi sita wa kike wa chuo kimoja pamoja na wafanyakazi wawili wa chuo hicho huko Kaduna Nigeria, wametaka walipwe fedha za kuwakombolea mateka hao.
-
Buhari: Mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Kusini ni aibu kwa Afrika
Oct 04, 2019 23:08Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema kuwa, wimbi la mashambulizi yaliyowalenga Wanigeria na wageni wa mataifa mengine ya Afrika huko Afrika Kusini mwezi uliopita yalikuwa aibu kwa bara zima la Afrika.
-
Buhari akadhibisha uvumi, asema hatagombea tena kiti cha rais Nigeria
Oct 03, 2019 03:59Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amekadhibisha uvumi unaosambazwa nchini humo kupitia mitandao ya kijamii ukidai kwamba, ana nia ya kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu.
-
Polisi Nigeria yawakomboa wanawake waliobebeshwa mimba kwenye 'kiwanda cha watoto wachanga' cha Lagos
Oct 02, 2019 00:43Polisi katika mji mkubwa zaidi nchini Nigeria wa Lagos imewakomboa wanawake na wasichana 19, ambao akthari yao walikuwa wametekwa nyara na kubebeshwa mimba na watu waliopanga kuwauza watoto wao baada ya kuzaliwa.
-
Jumanne, tarehe Mosi Oktoba, 2019
Sep 30, 2019 23:15Leo ni Jumanne tarehe Pili Safar 1441 Hijria sawa na Oktoba Mosi 2019.
-
Mripuko wa homa ya manjano waua watu 16 nchini Nigeria
Sep 30, 2019 04:11Mripuko wa homa ya manjano nchini Nigeria umesababisha vifo vya watu 16 katika jimbo la Bauchi, kaskazini mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Polisi ya Nigeria yawaokoa watoto 500 kutoka katika kituo cha mateso
Sep 29, 2019 09:01Polisi nchini Nigeria imefanikiwa kuwaokoa watoto na vijana mabarobaro kutoka katika kituo kimoja ambacho walikuwa wakifanyiwa mateso.
-
UN: Mapigano yamefanya watu 40,000 wakimbie Nigeria
Sep 28, 2019 07:44Umoja wa Mataifa umesema mapigano na ghasia huko kaskazini magharibi mwa Nigeria zimefanya makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wakimbilie usalama wao katika nchi jirani ya Niger.